
USHINDI WA TAIFA STARS, WAZIR AFICHUA SIRI
WAZIR Junior mfungaji wa bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia ameweka wazi kuwa ushirikiano kutoka kwa wachezaji wengine uliwapa nguvu ya ushindi katika mchezo huo. Tanzania ipo kundi E ambapo vinara ni Morocco wenye pointi 6 baada ya kucheza mechi mbili huku Tanzania ikiwa nafasi ya…