USHINDI WA TAIFA STARS, WAZIR AFICHUA SIRI

WAZIR Junior mfungaji wa bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia ameweka wazi kuwa ushirikiano kutoka kwa wachezaji wengine uliwapa nguvu ya ushindi katika mchezo huo. Tanzania ipo kundi E ambapo vinara ni Morocco wenye pointi 6 baada ya kucheza mechi mbili huku Tanzania ikiwa nafasi ya…

Read More

MO DEWJI AMTEUA TENA TRY AGAIN SIMBA

Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Dewji (MO) ametoa taarifa rasmi kuhusiana na kinachoendelea Simba SC baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi Salim Abdallah Muhene Try Again kutangaza kujiuzulu pamoja na Wajumbe wa upande wa Muwekezaji. MO Dewji amethibitisha kuwa anarejea tena kuwa Mwenyekiti wa Bodi wakati Try Again anarudi katika Bodi kama Mjumbe wa upande…

Read More

ALICHOKISEMA SALEH ALLY BAADA YA MO DEWJI KUREJEA SIMBA, INAREJEA KWENYE UHAI…

Ukimsikiliza Salim Try Again wakati akitangaza kuachia NGAZI na baadaye ukamsikiliza Mohammed Dewji ambaye anatarajiwa kurejea kwenye kiti cha Mwenyekiti wa Bodi alichokishika kwa mafanikio makubwa utagundua kuwa SIMBA INAREJEA KWENYE UHAI… Viongozi hao wawili wamekiri kuwa walikutana na kuzungumza na kauli aliyeachia NGAZI na anayetarajia kurejea WAMELENGA KUIREJESHA Simba iliyoirudisha heshima ya Tanzania katika…

Read More

MO ATOA TAMKO KUHUSU SIMBA, AKIRI – ”WACHEZAJI KIWANGO KIDOGO, TUACHE MIGOGORO” – VIDEO

Mwekezaji wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji Juni 11, 2024 ametangaza kukubali kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba aridhia ombi la aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Salim Abdallah ‘Try again’ ambaye alitangaza kujiuzulu. “Klabu yetu ipo kwenye kufanya usajili, Pre session, Simba Day, Ngao ya Jamii, niwaombe sana wana Simba wenzangu…

Read More

GEORGE WEAH, OKOCHA WASHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA YA VILABU VYA WACHEZAJI WASTAAFU

 WACHEZAJI mbalimbali nyota wa zamani wakiongozwa na Ronadihno Gaucho na Rais wa zamani wa Liberia, George Weah watashiriki katika mashindano ya vilabu ya Dunia Veterans Club World Championship (VCWC) yaliyopangwa kufanyika mjini, Kigali, Rwanda. Mbali ya wachezaji hao maarufu, pia wachezaji nyota mwingine duniani, Jay Jay Okocha na Andy Cole watashiriki katika mashindano hayo kwa…

Read More

SIMBA YAIWINDA SAINI YA MSHAMBULIAJI HUYU WA KAZI

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mazungumzo ya kuipata saini ya mshambuliaji wa Ihefu FC ambayo kwa sasa inaitwa Singida Black Stars, Ismail Mgunda. Nyota huyo Mgunda anayewaniwa vikali na Red Devils ya nchini Ghana ambayo inahitaji saini yake akapate changamoto mpya. Mgunda ndiye alikuwa anaunda safu nzuri ya ushambuliaji pamoja na Elvis Rupia katika kikosi…

Read More

LEO KITAWAKA AFRIKA MPAKA KULE ULAYA, PIGA PESA HAPA, TANZANIA USO KWA USO DHIDI YA ZAMBIA

Meridianbet wanakuuliza kuwa kama sio kupiga pesa leo utapiga lini?. Leo hii kuna mechi nyingi hapa Afrika mpaka kule Ulaya. Unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye akaunti yako utengeneze jamvi lako na ubashiri kijanja hapa. Rwanda atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Lesotho huku timu hizi zikiwa zimefatana kwenye msimamo. Mwenyeji anashika nafasi ya 2…

Read More

PROFESA JANABI AZIGEUKIA USAJILI YANGA, SIMBA

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospita ya Taifa ya Muhimbili, Profesa, Mohamed Janabi amezigeukia Yanga, Simba, Azam FC na Coastal Union na kuzishauri kuzingatia zaidi vipimo makini kwa wachezaji wapya watakaowasajili msimu wa 2023/24. Kauli hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uwezo wa Hospital ya Muhimbili- Mloganzila, katika tukio la kuagana na mchezaji…

Read More

CHEZA SHINDANO LA EXPANSE KASINO! MAMILIONI YANAKUSUBIRI

Meridianbet wanaendeleza ubabe wao, na leo nakuletea ile Promosheni pendwa ya kujichukulia Maokoto, Shindano la Expanse ambapo ukicheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka EXPANSE utajiweka kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni leo. Jisajili sasa kuwa moja ya washindi. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na…

Read More

Si Rahisi Kukosa Pesa Ukibashiri na Meridianbet Mechi za EURO

Mbilinge mbilinge za michuano ya EURO zimepamba moto haswa ambapo timu karibia zote zimejiandaa kunyakua taji hili ambalo linaanza kupambaniwa Ijumaa hii. Nani kuchukua kombe hili?. Tengeneza jamvi lako na Meridianbet sasa.   TIMU ZINAZOPEWA NAFASI YA KUTWAA EURO 2024 Michuano ya EURO inatarajiwa kuanza Ijumaa hii hapa na ukiingia Meridianbet utakutana na “EURO 2024…

Read More

SIMBA YAKAMATIA REKODI HII BONGO

LICHA ya kugotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara na kusepa na tiketi ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiungana na Coastal Union ya Tanga. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda ambaye funga kazi yake ilikuwa Mei 28 Uwanja wa Mkapa aliposhuhudia ubao ukisoma Simba 2-0 JKT Tanzania mabao yakifungwa…

Read More