>

DR CONGO NGOMA NZITO MBELE YA MOROCCO

TIMU ya taifa DR Congo imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Mataifa Afrika, Januari 21. DR Congo ina wachezaji wawili wanaoitambua Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Fiston Mayele aliyewahi kucheza Yanga na Henock Inonga anayekipiga Simba. Morroco walipachika bao kupitia kwa Achraf Hakim mapema kabisa…

Read More

WAPENI FURAHA WATANZANIA TAIFA STARS

KAZI kubwa inapaswa kufanyika leo kwa ajili ya kuiandaa kesho nzuri na inawezekana licha ya ugumu kuwa mkubwa kila wakati kutokana na timu zote kujipanga kupata ushindi hakuna namna ni muda wa kupambania malengo. Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jukumu lenu ni moja kusaka ushindi kwenye mechi ambazo mtashuka uwanjani kwa…

Read More

IHEFU WAPO CHIMBO HUKO

WAKATI huu wa mapumziko ya Ligi Kuu Bara kutokana na kuwepo kwa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika, maarufu kama AFCON uongozi wa Ihefu umeweka wazi kuwa kambi yao itakuwa Arusha mpaka pale ligi itakaporejea. Kocha Mkuu wa Ihefu Mecky Mexime amesema kuwa uwepo wao ndani ya Arusha utawajega zaidi na watarejea wakiwa imara kwenye…

Read More

HII HAPA BAJETI YA SIMBA KWA MWAKA 2023/2024

“Matumizi ya 2022/23 yalipangwa kuwa Tsh. 12,363,626,983 lakini matumizi halisi ni Tsh. 15,936,829,943. Bajeti kwa mwaka 2023/2024 klabu imepanga kukusanya kiasi cha Tsh. 25,930,722,300 lakini imepanga kutumia kiasi cha Tsh. 25,423,997,354. Tutabaki na mapato ya ziada ya Tsh. 506,724,946.”- Mhasibu wa Klabu, Suleiman Kahumbu

Read More

KARATA YA PILI KWA STARS LEO

LEO Januari 21 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza Stars ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Morocco na leo itakuwa ni mchezo wake wa pili wa kundi F. Hemed Morocco, Kaimu…

Read More

BOSI WA MAN CITY ATIMKIA MAN UTD KUWA CEO MPYA

Manchester United imemteua aliyekuwa CEO wa Man City, Omar Berrada kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Richard Arnold aliyebwaga manyanga baada ujio wa Sir Jim Ratcliffe. Ujio wa Berrada Manchester United ni pigo kwa upande wa pili wa Manchester ikizingatiwa Mhispania huyo amefanya kazi kwa karibu na Pep Guardiola na amekuwa…

Read More

GUEDE: NAKUJA KUWAPA FURAHA YANGA

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Joseph Geude raia wa Ivory Coast hatimaye amefunguka kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na timu hiyo kupitia dirisha dogo lililofungwa Jumanne ya wiki hii. Mshambuliaji huyo amekuja kuchukuwa nafasi ya mshambuliaji Hafiz Konkoni ambaye ametolewa kwa mkopo kwenda katika klabu ya Dogan Birligi ya nchini Cyprus. Yanga kupitia dirisha dogo…

Read More