MAYELE, MUSONDA WAPEWA MAAGIZO MAALUM YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema washambuliaji wake ikiwa ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda wanapaswa kuongeza umakini kwenye kutumia nafasi wanazopata ili kufunga mabao mengi. Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara msimu huu, kibindoni wana pointi 68 baada ya kucheza mechi 26, tofauti ya pointi tano na watani zao wa jadi Simba…

Read More

KUKATA UMEME MZAMIRU SAWA LAKINI AFYA MUHIMU

LICHA ya kazi kubwa ambayo aliifanya Mzamiru Yassin kwenye Kariakoo Dabi kuna faulo za hatari alizicheza mtindo wa nge kwa nyota Fiston Mayele. Hakika Mayele kuna wakati aliomba poo na alikasirika kwelikweli kutokana na kuchezewa faulo na kiungo Mzamiru. Ile iliyompa maumivu makubwa ilichezwa dakika ya 46 na Mzamiru wakati akiokoa hatari kuelekea kwenye lango…

Read More

AKILI ZA SIMBA NI KWA WAARABU WYDAD

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari amesema kuwa kwa sasa ambacho wanakifikiria ni ushindi dhidi ya Wydad  ambao ni hatua ya robo fainali. Tayari wapinzani hao wamewasili Tanzania Aprili 19 wakiwa kamili kwa ajili ya mchezo huo ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa, Jumamosi. “Hakuna jambo lingine lolote tunaweza kuwaza kwa sasa zaidi ya kumfunga…

Read More

AZAM FC HESABU KWA RUVU SHOOTING

AZAM FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo ujao dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Morogoro. Katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara, Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar. Kituo kinachofuata ni Aprili 22 ukiwa ni mchezo wa kufunga mwezi kuukaribisa Mei. Kali Ongala, Kocha Mkuu wa Azam…

Read More

MANE APIGWA FAINI NDEFU KWELI BAYERN

BAADA ya Sadio Mane kumpiga mchezaji mwenzake wa bayern Munich, Leroy Sane wiki iliyopita nyota huyo amepigwa faini ya pauni 250,000, (Sh.724,445,000). Pia inatajwa kuwa staa huyo raia wa Senegal yupo kwenye hesabu za kuuzwa mwishoni mwa msimu huu. Mane alimchapa ngumi ya mdomo Sane kwenye chumba cha kubadilishia nguo wiki iliyopita kwa madai kuwa…

Read More

YANGA KUWAFUATA RIVERS UNITED KAMILIKAMILI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua a robo fainali dhidi ya Rivers United ambao ni wa Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mchezo wa hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya timu hiyo kutinga wakiwa ni vnara wa kundi. Ally Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

Read More

HAPA NDIPO YANGA WALIPOVURUGWA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kilichowavuruga dhidi ya Simba ni bao la mapema ambalo chanzo chake hakikuwa cha uhakika. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 16, ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 2-0 Yanga huku bao la kwanza likifungwa na Henock Inonga. Inonga alipachika bao hilo dakika ya kwanza akitumia…

Read More

SIMBA YAKUNJA MKWANJA WA M-BET M 100

WAKATI wachezaji wa Simba wakitarajia kuanza mazoezi leo Aprili 18,2023 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Club Athletic ya Morocco, wadhamini wakuu wa timu hiyo, kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imekabidhi bonasi ya Sh milioni 100. Wachezaji wa Simba walikuwa kwenye…

Read More

YANGA BADO WANA JAMBO LAO

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba sio mwisho wa kazi maisha lazima yaendelee. Kabla ya mchezo Aprili 16 Kamwe alimwambia Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally kuwa wiki ya Jumatatu ya Aprili 17/2023 itakuwa ni ya masimango kwa mmoja huku mwingine akiwa na…

Read More

SIMBA WAANZA KUWAVUTIA KASI WAARABU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa umeanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa ambapo Simba inaipeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga hilo. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More