
MASHINE MPYA SIMBA KUANZA NA DODOMA JIJI
JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wachezaji wote ambao wamesajiliwa kweye dirisha dogo wapo tayari kwa ajili ya kutimiza majukumu ndani a timu hiyo. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Robert Oliviera kwenye dirisha dogo ni wachezaji watatu wapya imewasajili ambao ni Jean Baleke, Ismail Sawadogo na Mohamed Mussa. Jana walifanya mazoezi ya mwisho…