>

AZAM FC YASHUSHA MTAMBO MWINGINE WA KAZI

MATAJIRI wa Dar  Azam FC rasmi Desemba 31 wametangaza kufikia makubaliano na Klabu ya El Marreikh kwa ajili ya kumsajili kipa wao wa kimataifa wa Sudan, Mohamed Mustafa. Kipa huyo amepewa dili la mkataba wa miezi sita ambapo atakuwa kwenye viunga vya Azam Complex kwa mkopo. Kipa huyo anatarajiwa kuwa kwenye majukumu yake katika kikosi…

Read More

AZAM FC WAFUNGA DESEMBA KIBABE

DESEMBA imekuwa bora kwa Azam FC baada ya tuzo kuelekea Azam Complex kutoka Kamati ya Tuzo ya Shirikisho là Mpira w Miguu Tanzania, (TFF). Ni Kipre Junior amechaguliwa kuwa mchezaji bora aliwazidi Prince Dube wa Azam FC na Aziz KI wa Yànga. Mbali na Kipre ambaye alihusika kàtika mabao manne kwenye michezo mitatu ndani ya…

Read More

UKURASA MPYA UFUNGULIWE KWA HESABU MPYA

WAKATI wa sasa kwenye mashindano ambayo yanaendelea ni muhimu kila timu kukamilisha mipango iliyopanga kuikamilisha ndani ya mwaka. Hakuna ambaye anapenda kuona kwamba anafungua ukurasa mpya wa mwaka huku mipango mingi ikiwa haijanikiwa kufikia pale ambapo ilikuwa inahitajika. Ipo wazi kwamba kila mmoja ni lazima awe makini kwenye kutimiza majukumu yake kwa wakati uliopo na…

Read More

MGHANA WA SIMBA KUTAMBULISHWA YANGA

NYOTA Agustino Okra ambaye amecheza ndani ya kikosi cha Simba kabla ya kukutana na Thank You anatajwa kuwa kwenye hesabu za kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond ambapo ina mpango wa kuboresha kikosi hicho ili kuendelea kuwa kwenye ubora wake

Read More

CR KAFUNGA MWAKA KWA MABAO KIBAO

MAISHA yake kwa sasa ya soka ni Saudi Arabia katika Klabu ya Al Nassr inayoshiriki  Saudi Professional League. Ni Desemba 30, Al Nassr ilikipiga dhidi ya Al-Taawoun na kushinda mabao 4-1, kwenye mchezo wa ligi. Katika ushindi huo wa Al Nassr, Ronaldo yeye alitupia bao moja dakika za lala salama kwa mpira wa kichwa. Bao…

Read More

MEDDIE KAGERE NA UJUMBE WAKE MAPINDUZI CUP

FULANA ya Meddie Kagere mshambuliaji wa zamani wa Simba na Gor Mahia imezua gumzo kutokana na ujumbe wake ambao uliandikwa wakati akishangilia. Ni kwenye Mapinduzi Cup 2023  ambapo mambo yanazidi kuwa katika ubora baada ya wanafainali 2022 kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya JKU SC. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKU SC 1-4…

Read More

REBECCA REFA MWENYE REKODI YAKE EPL

REBECCA Welch, ameweka rekodi ya kuwa mwamuzi wa kwanza mwanamke kuchezesha mechi ya Premier League, alifanya hivyo katika mchezo baina ya Fulham dhidi ya Burnley, Jumamosi iliyopita. Welch kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na soka la wanaume, ambapo kwanza aliweka rekodi ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa kike kuchezesha mechi ya EFL, Aprili 2021, kisha…

Read More

YANGA KUMSHUSHA MGHANA

INAELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya winga Mghana Augustino Okra ambaye ni winga. Nyota huyo anatajwa kuwa kwenye hesabu za mwisho kumalizana na mabosi hao kwa ajili ya kuanza changamoto mpya. Okra aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Simba alikwama kuonyesha uwezo wake kwa wakati huo mpaka alipokutana na Thank You….

Read More

NAMUNGO YAMTAMBULISHA MWINYI ZAHERA KUWA KOCHA

Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Namungo kutokea mkoani Lindi ilikuwa inanolewa na kocha Denis Kitambi ambaye ametimkia Geita Gold FC. Namungo ipo nafasi ya 8 kwenye msimamo wa Ligi Kuu tayari imecheza mechi 14 ikishinda mechi 4, kufungwa 5 na droo 5 na ina pointi 17.

Read More

STRAIKA MCOLOMBIA MLANGONI SIMBA

IMEELEZWA kuwa Simba muda wowote watakamilisha usajili wa mshambuliaji wa Klabu ya Comerciantes FC, Mauricio Cortes raia wa Colombia. Simba imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi chao, kati ya hayo ni safu ya ushambuliaji ambayo Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha amependekeza usajili huo. Safu hiyo ya ushambuliaji hivi sasa inaongozwa na John Bocco, Jean…

Read More

SANKARA APIGA SIMU YANGA

MSHAMBULIAJI wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome Zouzoua na Kouassi Attohoula Yao ambao ni marafiki zake. Sankara amekuwa akihusishwa kwa muda sasa kutakiwa na Yanga huku msimu huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa amefanikiwa kufunga mabao 4…

Read More