YANGA YAPENYA TANO CAF TIMU BORA

KLABU ya Yanga imetinga hatua ya tano bora kuwania tuzo ya klabu bora kwa wanaume kutoka CAF kwa mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika 2022/23 waligotea nafasi ya pili na katika ligi ya ndani walitwaa taji la Ligi Kuu Bara. Zama hizo ilikuwa inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi na kwa…

Read More

TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI NIGER

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Stars itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi huo na imewasili salama Morocco kwa ajili ya mchezo huo kwa ndege iliyotolewa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu. Maandalizi yameanza…

Read More

YANGA WAVAMIA ALGERIA LIGI YA MABINGWA

MABOSI wa Yanga, juzi walisafiri kuelekea nchini Algeria, kwa ajili ya kuwaangalia wapinzani wao CR Belouizdad waliongozana na mchambuzi wa video, Khalil Ben Youssef. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana Novemba 24, mwaka huu katika mchezo wa Kundi D wa Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa nchini Algeria. Yanga imepania kufanya vema katika michuano hiyo ya kimataifa msimu…

Read More

AZIZ KI MASTA ANA BALAA HUYO TATU BORA

AZIZ KI kiungo wa Yanga ni kiboko yao kwa makipa wote namba moja ndani ya timu zilizo tatu bora kwa kuwa kawatungua kwenye mechi za ligi walipokutana. Nyota huyo katupia jumla ya mabao saba kibindoni akiwa na pasi moja ya bao kwa msimu wa 2023/24 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Kwenye…

Read More

KIMATAIFA SIMBA YATANGAZA WAGENI RASMI NA KAZI KUANZA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wapo tayari na mashabiki watakuwa ni wageni rasmi kwenye mchezo huo. Ipo wazi kwamba ni Roberto Oliveira na pira papatupapatu alikiongoza kikosi hicho kutinga hatua ya makundi kwa sasa hatakuwa na timu hiyo baada ya kusitishiwa mkataba…

Read More

MERIDIANBET KUTAMBULISHA MICHEZO MIPYA YA KASINO MTANDAONI

Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse studio wanakuja na vitu vipya, michezo mipya ya kasino mtandaoni itakayozinduliwa kwenye maonyesho ya SiGMA World Europe.   Baada ya kuonyesha mafanikio yao huko G2E Las Vegas, Expanse sasa inatarajia kuonyesha bidhaa zao mpya huko Malta kuanzia tarehe 13 hadi 17 Novemba kwenye banda namba 1030.  Wachezaji wa Meridianbet na…

Read More

NYOTA STARS WAAHIDI KUPAMBANA KIMATAIFA

NYOTA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameweka wazi kuwa watapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Niger ambao ni wa kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Novemba 18 katika Mji wa Marrakech siku ya Jumamosi. Miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye msafara huo ni Simon Msuva, Novatus Dismas, Peter Banda,…

Read More

MIKATABA YA WACHEZAJI IHESHIMIWE KUPISHANA NA KESI

KESI nyingi ambazo zinawasumbua mabosi wengi wa timu ndani ya ardhi ya Tanzania ni kuhusu malipo. Mikataba ya wachezaji inakwenda kirafiki na hakuna ambaye anajali. Hili ni janga kubwa ambapo kila siku kumekuwa na kesi zinazowahusu wachezaji kufungua kesi kuhusu malipo yao. Haina maana kwamba waajiri hawatambui umuhimu wa kuwalipa hapana wanaamua kufanya makusudi. Mwisho…

Read More

KOCHA MBABE WA YANGA ATAJWA SIMBA

ABDELHAK Benchikha aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa USM Alger anatajwa kuwa katika hesabu za kupewa mikoba ya Robert Oliveira. Baada ya ubao wa Uwanja wa Mkapa Novemba 5 2023 kusoma Simba 1-5 Yanga, Novemba 8 Simba ilitangaza kupeana mkono wa asante na Oliveira. Taarifa zimeeleza kuwa upo uwezekano koçha huyo aliyetwaa ubingwa wa Kombe la…

Read More

KWA NINI TEN HAG ANAHUKUMIWA?

ILIKUWA  April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…

Read More

TAIFA STARS KAMILI GADO KWA KAZI

MAANDALIZI ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania yakizidi kupamba moto, nyota wa timu hiyo wameahidi wapo kamili kwa mechi zote zilizopo mbele yao. Simon Msuva anayekipiga Klabu ya JS Kabylie inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu uliopo kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180. Msuva amesema: “Tumekuja kupambania timu…

Read More

YANGA WAJA NA HILI KUHUSU MAJEMBE MAPYA

UONGOZI wa Yanga umeweka waz kuwa utafanya maboresho kwenye kikosi hicho kwa umakini kuelekea kwenye dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa Desemba. Moja ya nyota wanaotajwa kuwa kwenye hesabu za kuwa ndani ya Yanga ni pamoja na Chvaviro ambaye yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na timu hiyo.

Read More

BOSI MO AIBUKA NA JAMBO HILI SIMBA

BAADA ya kimya cha muda tangu ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-5 Yanga, hatimaye ameibuka bosi wa Simba na kuwaomba mashabiki watulie kipindi hiki cha mpito. Ni Rais wa Heshima wa Simba , Mohamed Dewji amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale….

Read More

PANGA LINAPITA NDANI YA SIMBA BOSI AMESEMA

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salum Abdallah ‘Try Again’ amewapa mwezi mmoja na nusu mastaa wao kutumia kipindi hicho kujihakikishia nafasi ya kubaki kikosini. Simbahaijawa kwenye mwendo mzuri mwanzo wa msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kufikia malengo yao ambayo walijiwekea ikiwa ni pamoja na mashindano ya African Football League. Mashindano hayo mapya…

Read More