MERIDIANBET CHIMBO PEKEE LA KUPIGA MKWANJA WIKIENDI HII

Ni hivi hakuna kukaa kinyonge wikiendi hii kwani ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea na una nafasi ya kupiga mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet kupitia michezo hiyo. Kukosa maokoto ni wewe tu utakua umetaka kwani mabingwa wa michezo ya kubahatisha kampuni ya Meridianbet wamekuwekea ODDS KUBWA na bomba katika michezo inayopigwa wikiendi hii katika ligi mbalimbali barani ulaya. Pia kumbuka…

Read More

TANZANITE QUEENS TAYARI KUWAKABILI NIGERIA

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Wasichana chini ya miaka 20, Tanzanite Queens wanaendelea na maandalizi ya mwisho. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Bakari Shime ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo dhidi ya Nigeria. Huo ni mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 12. Ikumbukwe kwamba Tanzanite…

Read More

JUDE NA CR 7 MECHI ZAO 10 WALIVYOKIWASHA

Jude Bellingham amekuwa na mwanzo wa kushangaza pale  Real Madrid, lakini unajua kuna rekodi amevunja baada ya mechi 10 ukimlinganisha na  Cristiano Ronaldo? Ronaldo ndiye lejendi wa Real Madrid akiitumikia klabu hiyo na kuipa mafanikio makubwa ikiwemo rekodi ya kufunga mabao 450 aliyofunga sambamba na kushinda mataji mengi. Real Madrid hakushinda taji lolote msimu wa…

Read More

BET WINNER KUTOA SH 390,000 KWA MTEJA MPYA

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako Hii ni kubwa kutokea ambapo kila mteja mpya anapewa shilingi 390,000 muda mfupi baada ya kujiunga.. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni,…

Read More

KOCHA ALIYETIMULIWA SIMBA ATAJA TATIZO LILIPO

Mchambuzi Nguli wa maswala ya soka nchini Saleh Ally Jembe amesema kuwa alipata bahati ya kuonana na aliyekuwa kocha mkuu wa Simba, Roberto Oliveira na kutaja tatizo lilipo. Ikumbukwe kwamba Oliveira alikuwa ndani ya kikosi cha Simba alipochukua mikoba ya Zoran Maki ambaye alibwaga manyanga muda mfupi baada ya kuwa na timu hiyo. Mchezo wa…

Read More

GAMOND AJA NA JAMBO HILI KUHUSU WAFUNGAJI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa hawapi majukumu washambuliaji pekee kufunga ndani ya kikosi hicho bali kawapa uhuru wachezaji wote kufunga. Ikumbukwe kwamba, Yanga ini namba moja kwa kufunga mabao mengi ikiwa imetupia mabao 26 baada ya kucheza mechi 9. Gamondi amesema kuwa wachezaji wote wana kazi ya kutafuta matokeo uwanjani, hivyo ni…

Read More