KULINDANA NI MUHIMU, HAKI PIA IZINGATIWE

KILA mmoja anatambua kwamba pazia la Ligi Kuu Bara linakwenda kufunguliwa leo ambapo kuna mechi zitakazoanza kuchezwa katika viwanja tofauti. Yanga ambao ni mabingwa watetezi hawa kete yao ya kwanza itakuwa dhidi ya KMC wote ni watoto wa mjini. Simba iliyogotea nafasi ya pili kibarua chake ni dhidi ya Mtibwa Sugar itakuwa ugenini kwenye mchezo…

Read More

DILI LA CAICEDO LINAKWENDA KUANDIKA REKODI MATATA

IKIWA dili lake litakamilika rekodi mpya inakwenda kuandikwa Uingereza kwa gharama ambazo zitatumika kuipata saini ya Moises Caicedo kutoka Brighton kwenda Chelsea. Imeelezwa kuwa kuna nyongeza katika mkataba imeongezwa na kufikia dili lenye thamani ya pauni milioni 115 na Chelsea wamekubali ada ya rekodi ya Uingereza ya pauni milioni 115 na Brighton kwa ajili ya…

Read More

HIVI NDIVYO AZAM FC WALIVYOWATULIZA SINGIDA FOUNTAIN GATE

AZAM FC ni washindi wa tatu katika Ngao ya Jamii 2023 baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 Singida Fountain Gate katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Singida Fountain Gate walikosa utulivu katika kipindi cha kwanza eneo la ulinzi jambo lililowafanya Azam FC kuwatuliza kwa bao la mapema zaidi. Ni Prince Dube alianza kumtungua…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

SIMBA WAMESHINDA DHIDI YA TIMU ILIYOONYESHA UBORA

USHINDI wa Ngao ya Jamii ambao wameupata Simba dhidi ya Yanga ni bahati ya mtende kutokana na kiwango cha chini kilichoonyeshwa na wachezaji wa Simba. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ulikuwa unasoma Yanga 0-0 Simba na kupelekea mshindi apatikane kwa penalti. Katika Ngao ya Jamii kwenye mchezo wa fainali Agosti…

Read More

SIMBA YATWAA NGAO YA JAMII, SALIM SHUJAA

NGAO ya Jamii ni mali ya Simba baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ndani ya Uwanja wa Mkwakwani. Ilikuwa ni fainali ambayo Yanga walikuwa na nafasi kubwa kwenye upande wa kupata matokeo ndani ya dakika 90 kutokana na mashambulizi waliyokuwa wakiyapeleka kwa Ally Salim. Hilo pia limedhihirishwa na nahodha wa Yanga Bakari…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Agosti 13 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kimetambulishwa tayari. Huu ni mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ambapo Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itamenyana na Simba. Ni Djigui Diarra langoni  Yao Lomalisa Mutambala Bakari Nondo Bacca Aucho Max, Mudathir Mzize Kennedy Musoda Jesus Moloko

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA FAINALI NGAO YA JAMII

NI fainali ya Ngao ya Jamii, Tanga ikiwa ni mchezo wa Kariakoo ndani ya Tanga kati ya Yanga dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Roberto Oliveira ametambulisha jeshi lake atakaloanza nalo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Kennedy Juma Che Malone Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin John…

Read More

YANGA V SIMBA, HII GEMU HAINA MWENYEWE

WEKA ngoma ipigwe wanasema tumewafuata waliotangulia ni kueleka mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga  V Simba. Kila timu ina nyota wapya ikiwa ni pamoja na Jonas Mkude, Skudu Makudubela na Maxi Nzengeli kwa Yanga, Luis Miquissoe, Willy Onana kwa Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga waliitungua mabao 2-0 Azam FC kisha Simba wao walipenya kwa…

Read More

AZAM FC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII

AZAM FC chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo ni washindi wa tatu Ngao ya Jamii baada ya kuwashinda Singida Fountain Gate. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umesoma Azam FC 2-0 Singida Fountain Gate. Mabao ya Prince Dube na Sopu yametosha kuimaliza Singida Fountain Gate. Huu ni mchezo wa kwanza kwa Dabo kushuhudia timu hiyo…

Read More

SIMBA WANA ZALI NA MKWAKWANI

KATIKA mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba ilicheza Uwanja wa Mkwakwani, Tanga haijapoteza. Simba imekuwa na zali ndani ya dakika 90 kutopoteza kwenye mechi za ushindani ambazo walicheza na leo wana kazi ya kufanya dhidi ya Yanga. Ni Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ambapo Yanga na Simba zote zimeweka…

Read More

YANGA HAWAJAPOTEZA MKWAKWANI, TANGA

YANGA kwenye mechi mbili walizocheza Uwanja wa Mkwakwani hivi karibuni hawajapoteza hata mmoja. Ilikuwa ni fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Azam FC, kwenye mchezo huo Yanga walishinda bao 1-0. Mchezo wa pili kwa Yanga ilikuwa dhidi ya Azam FC katika hatua ya nusu fainali ya kwanza ya Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkwakwani….

Read More