
KULINDANA NI MUHIMU, HAKI PIA IZINGATIWE
KILA mmoja anatambua kwamba pazia la Ligi Kuu Bara linakwenda kufunguliwa leo ambapo kuna mechi zitakazoanza kuchezwa katika viwanja tofauti. Yanga ambao ni mabingwa watetezi hawa kete yao ya kwanza itakuwa dhidi ya KMC wote ni watoto wa mjini. Simba iliyogotea nafasi ya pili kibarua chake ni dhidi ya Mtibwa Sugar itakuwa ugenini kwenye mchezo…