BINGWA WA EPL HUYU HAPA

MSIMU wa Ligi Kuu ya England umeanza kutimua vumbi jana Ijumaa, kwa michezo miwili kupigwa ambapo mabingwa watetezi Manchester City walifungua pazia la kampeni ya kutetea taji lao ugenini mbele ya Burnley, huku mabingwa wa Ngao ya Jamii, Arsenal wao wakianzia nyumbani dhidi ya Nottingham Forest. Tayari joto la matokeo limezidi kuwa kubwa kwa mashabiki…

Read More

HUYU HAPA KIPA MPYA SIMBA

RASMI Simba imemtangaza kipa mpya mwingine tena ambaye atakuwa askihirikiana na wale waliopo kwenye kazi ya ulinzi. Ni Ayoub Lakred Agosti 12 ametambulishwa rasmi huku taarifa zikieleza kuwa ni Agosti 11 dili lake lilikuwa tayari kwa mwamba huyo kuwa ndani ya Simba. Kipa huyo alikuwa anaitumikia Klabu ya AS Far ya Morocco hiyo msimu wa…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More

KIPA SIMBA KWENYE MTEGO MKWAKWANI

ALLY Salim kipa namba mbili wa Simba ameingia kwenye mtego mwingine wa kudhihirisha ubora wake kama alibahatisha ama ulikuwa ni upepo alipokamilisha dakika 90 bila kutunguliwa na mastaa wa Yanga wakiongozwa na Fiston Mayele. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Salim alikaa langoni kwenye Kariakoo Dabi na alishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa…

Read More

MUDA NI MCHACHE HUKU MAMBO YAKIWA MENGI

MUDA uliobaki kwa ligi kuanza unahesabika, kwani kila kitu kitaanza hivi karibuni ikiwa ni msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ni Yanga walitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 wanakazi ya kuutetea kwa msimu mpya wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba Yanga walitwaa Ngao ya Jamii pia msimu wa 2023 kwa ushindi dhidi ya Simba Uwanja…

Read More

HISTORIA IMEANDIKWA UDHAMINI WA NBC LIGI KUU BARA

HATIMAYE Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya NBC wametangaza kufanya maboresho ya mkataba wao wa udhamini wa Ligi Kuu Bara, kutoka udhamini wa awali wa miaka mitatu hadi mitano kuanzia msimu wa mwaka 2023/24 hadi mwaka 2027/2028. Ikumbukwe kuwa udhamini wa awali wa miaka mitatu ulikuwa wa thamani ya sh. Bilioni…

Read More