WAKALI WA KUTUPIA KWA KUTUMIA MGUU WA KULIA

MASTAA wanne Bongo wakali wakutupia kwa kutumia mguu ule wa kulia. Ipo wazi kwamba Yanga wamesepa na taji la ligi baada ya kufikisha pointi 74 mkononi wana mechi mbili. Fiston Mayele katupia mabao 12 akitumia mguu wa kulia yupo zake ndani ya Yanga. Mayele ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao 16 kibindoni. Jeremiah…

Read More

MTIBWA SUGAR HESABU KWA KAGERA SUGAR

IKIWA imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Polisi Tanzania tayari Mtibwa Sugar wameanza hesabu kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Vinara wa ligi ni Yanga wakiwa wameshatwaa ubingwa walipokutana na Mtibwa Sugar, ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Mei 15,2023 ubao wa Uwanja wa Ushirika Moshi ulisoma Polisi Tanzania 3-1…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA NAMNA HII

WACHEZAJI wa Simba kesho Mei 24 wanatarajiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Juma Mgunda wana kazi ya kuongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili. Kutinga fainali kwa Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika kumefanya mabadiliko hayo ndani ya ligi. Ikumbukwe…

Read More

NGOMA ILIKUWA NZITO KWA WAKULIMA, JANGWANI WAKAPETA

KILA mmoja anafuata njia zake ambazo zitampa mafanikio akikwama kidogo kupotea ni hatua inayofuata asipojipanga itakuwa kazi nyingine. Ilikuwa hivyo Uwanja wa Liti, njia za Singida Big Stars wakulima wa alizeti njia ziliwagomea na zile za Yanga zikawapa ushindi baada ya dakika 90. Ngoma fainali ya Azam Sports Federation itakuwa ni Azam FC v Yanga,…

Read More

NEWCASTEL UNITED HAO LIGI YA MABINGWA ULAYA

SASA Newcastle United uhakika kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu 2003 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Leicester. Kikosi cha Eddie Howe kilijihakikishia nafasi ya nne bora kwa kuonyesha uwezo mkubwa na kuwaacha wageni ambao walipiga shuti moja pekee kwenye lango la wapinzani. Newcastle walidhibiti mechi lakini walichanganyikiwa…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KWENYE HESABU ZA SIMBA

THIERRY Manzi raia wa Rwanda anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Simba imepishana na ubingwa ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Yanga pia imetinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation iliposhinda mbele ya Singida Big…

Read More