
WAKALI WA KUTUPIA KWA KUTUMIA MGUU WA KULIA
MASTAA wanne Bongo wakali wakutupia kwa kutumia mguu ule wa kulia. Ipo wazi kwamba Yanga wamesepa na taji la ligi baada ya kufikisha pointi 74 mkononi wana mechi mbili. Fiston Mayele katupia mabao 12 akitumia mguu wa kulia yupo zake ndani ya Yanga. Mayele ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao 16 kibindoni. Jeremiah…