YANGA:US MONASTIR WATATUAMBIA WALITUFUNGAJE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ipo hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali ina pointi 7 kwenye kundi D…

Read More

IHEFU WANA BALAA HAO

WABABE kutoka Mbeya, Ihefu wakiwa Uwanja wa Highland Estate wanabalaa dhidi ya vigogo ambao walikutana nao katika uwanja huo. Yanga bado wanakumbuka namna walivyotunguliwa kwenye ligi kwa msimu wa 2022/23 walipotua ndani ya uwanja huo. Ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga na kutibua ie rekodi ya kutaka kufikisha mechi 50 bila…

Read More