>

RUVU SHOOTING INAPAMBANA KUREJEA KWENYE UBORA

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwa sasa unapambana na hali waliyonayo kurejea kwenye ubora. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri kutokana na kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za ligi. Mchezo wake uliopita ilipoteza pointi tatu kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Geita Gold, Uwanja wa Nyankumbu mchezo wao ujao ni dhidi ya…

Read More

KMC 0-1 YANGA, LIGI KUU BARA

DAKIKA 45 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma KMC 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Kazi kubwa imefanyika kwa timu zote kusaka ushindi ambapo ni Yanga walikuwa wa kwanza kuwatungua KMC. Bao la uongozi limejazwa kimiani na Clement Mzize ambaye alimalizia pigo la kona lililomshinda mlinda mlango David Kissu.

Read More

MTIBWA SUGAR YAIVUTIA KASI SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji kituo kinachofuata kwa Mtibwa Sugar ni dhidi ya Singida Big Stars. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Maungu, Morogoro dakika 90 zilipokamilika timu hiyo ilisepa na pointi tatu. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Singida Big Stars mchezo unaotarajiwa kuchezwa Februri 27,2023 Uwanja wa Liti. Tayari…

Read More

YANGA KUONGEZA HALI YA KUJIAMINI KWA KMC

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa watapambana kupata matokeo mazuri dhidi ya Yanga ili kurejesha hali ya kujiamini kwa wachezaji wake. Timu hiyo ilitoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Ruvu Shooting kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Katika mchezo huo waliokuwa ugenini KMC ilikwama kufurukuta mbele ya Ruvu Shooting wazee…

Read More

KANOUTE LAZIMA ABADILIKE,ANAIGHARIMU TIMU

KIUNGO Sadio Kanoute ni lazima abadili uchezaji wake kwenye kutimiza majukumu yake anaigharimu timu, anagharimu afya za wachezaji wake. Ni mchezaji mzuri anafanya kazi ngumu na inayoonekana lakini lazima aongeze umakini kwenye kutimiza majukumu yake. Kuna mikato yake mingine ni hatari kwa usalama wa wachezaji na kadi za njano ambazo anapewa zinaigharimu timu yake. Benchi…

Read More

LIVERPOOL MAJANGA MATUPU YAPIGWA MKONO

LICHA ya kuwa katika ngome yao Uwanja wa Anfield walitunguliwa na wageni Real Madrid. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Liverpool 2-3 Real Madrid ikiwa ni mchezo wa UEFA Champions League. Mabao ya Darwin Nunez alipachika bao dakika ya 4 kisha Mohamed Salah alipachika bado dakika ya 14 yakiwa ni mabao pekee Kwa Liverpool. Vini…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA

BAADA ya Mzizima Dabi kukamilika Februari 21 na ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-1 Azam FC leo Ligi Kuu Bara inatarajia kuendelea. Ni mchezo wa wakusanya mapato KMC v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Yanga 1-0 KMC. Hivyo mchezo wa leo…

Read More

NGOMA NZITO KWA SIMBA, WAGAWANA POINTI NA AZAM

NGOMA nzito kwa Simba mbele ya Azam FC baada ya Mzizima Dabi kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1. Mchezo ulioshuhudia bao la mapema na bao la usiku kwa timu zote mbili huku wafungaji wote wakitoka ndani ya Azam FC. Ni Prince Dube alianza kuwatungua Simba dakika ya kwanza alipompa tabu Aishi Manula mpaka dakika…

Read More

SIMBA 0-1 AZAM FC

NI bao la mapema zaidi ndani ya Ligi Kuu Bara kupata kutunguliwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula na mtupiaji akiwa ni mshikaji wake anayempa mateso siku zote. Anaitwa Prince Dube hakuhitaji dakika mbili zaidi ya ile ya kwanza kupachika bao la uongozi dhidi ya Simba kwenye mchezo unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Moja ya…

Read More

KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala leo kinakazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Ongala alikiongoza kikosi hicho kwenye mzunguko wa kwanza kuitungua Simba na kusepa na pointi tatu mazima. Hiki hapa kikosi cha Azam FC dhidi ya Simba:- Idrissu Abdulai, Lusajo Mwaikenda, Nathaniel Chilambo,Daniel Amoah,Abdalah Kheri, Isah Ndala, Sospeter…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC UWANJA WA MKAPA

KIKOSI cha Simba leo kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Azam FC. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili na kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Aishi Manula, Shomari Kapombe, Kennedy Juma,Hennock Inonga,Sadio Kanoute,Pape Sakho, Mzamiru Yassin,John Bocco, Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama Akiba Beno, Israel, Outtara,Mkude,Kibu,Kapama,Baleke,Habibu, Phiri

Read More

MUDA BADO GARI HALIJAWAKA

MSIMU wake wa kwanza akiwa na Yanga baada ya kusajiliwa kwenye dirisha dogo akiwa ni mchezaji huru. Kiungo Muadhathir Yahaya ameweka wazi kuwa bado hajafikia kwenye uwezo anaofikiria licha ya kupata nafasi za kucheza kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo ameingia jumlajumla kikosi cha kwanza cha Yanga kwenye eneo la kiungo mkabaji akionesha makeke yake…

Read More