>

YANGA YACHAPA MTU BAO 8-0 KWA MKAPA

KAMPENI ya kutetea ubingwa wa Kombe la Azam Sports Federation umeanza kwa ushindi mbele ya Kurugenzi. Ni Yanga ambao ni watetezi wameibuka na ushindi wa mabao 8-0 dhidi ya Kurugenzi kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Shukrani kwa Clement Mzize ambaye amefung bao la mapema ndani ya Kombe la Shirikisho dakika ya kwanza na aliibuka…

Read More

MABINGWA WATETEZI KUTUPA KETE YAO KWA MKAPA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Desemba 11 kitakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya Pili Kombe la Shirikisho dhidi ya Kurugenzi. Nabi hatakuwa kwenye benchi kwa kuwa anatumikia adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu hivyo ni Cedric Kaze ambaye ni kocha msaidizi atakaa kwenye benchi. Tayari…

Read More

HAYA HAPA MAMBO YALIYOMUONDOA CEO BARBARA

OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzales, jana Jumamosi alifikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yake hiyo, huku akitoa sababu kuu mbili nzito za kufikia uamuzi huo. Barbara amehudumu kwenye nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka miwili tangu Novemba 17, 2020 akichukua nafasi ya Senzo Mbatha. Katika taarifa ambayo aliitoa Barbara, alisema: “Leo (jana Jumamosi) nimeandika…

Read More

MORROCO YAWEKA REKODI, URENO KAZI IMEISHA

MOROCCO inakuwa timu ya kwanza kutoka bara la Afrika kukata tiketi ya kufuzu hatua ya nusu Fainali kwenye Kombe la Dunia baada ya kupata ushindi mbele ya Timu ya Taifa ya Ureno. Ni ushindi wa bao 1-0 ambao walipata kwenye mchezo huko kupitia kwa mshambuliaji wao Youssef En-Nesyri kwa pigo la kichwa dakika ya 42…

Read More