
BRAZIL NDO BASI TENA KOMBE LA DUNIA2022
KUNA wakati unakuwa juu kutokana na furaha kisha unashuka chini kutokana na huzuni, haya ni maisha na yametokea kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua ya nusu fainali, Brazil 1-1 Croatia. Staa wa Timu ya Taifa ya Brazil Neymar alikuwa na furaha kwa muda baada ya kutupia bao na ngoma iliporudishwa kisha wakatolewa kwenye hatua ya…