ONYANGO NDANI YA SIMBA, KAZI INAANZA MBEYA

BEKI wa kati wa Simba, Joash Onyango ni miongoni mwa nyota wa kikosi hicho ambao wamewasili salama Mbeya, kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons unaotarajiwa kuchezwa kesho, Septemba 14, Uwanja wa Sokoine Mbeya. Wengine ni pamoja na Aishi Manula ambaye leo ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani, Clatous Chama,…

Read More

YANGA YAICHAPA MTIBWA 3-0, AZIZ KI ATUPIA

WAKATI Yanga ikishinda mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ni mabao ya Djuma Shaban dakika ya 32, Fiston Mayele dakika ya 37 na Aziz KI dakika ya 90 yalitosha kuipa pointi tatu Yanga inayofikisha pointi 10 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo. Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wachezaji walicheza kwa umakini kipindi…

Read More

KIKOSI CHA TAIFA STARS KITAKACHOINGIA KAMBINI KUIKABLI LIBYA

LEO Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Honour Janza ametangaza kikosi cha Stars ambacho kinatarajiwa kuingia kambini Jumamosi. Ni kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki iliyo kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Libya. Wachezaji hao ni Aishi Manula, (Simba) Beno Kakolanya, (Simba),Said Kipao, (Kagera Sugar),Kibwana Shomari, (Yanga), Datius Peter, (Kagera Sugar),…

Read More

JUMA MGUNDA ALIANZA NA MAMBO HAYA SIMBA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameanza kazi yake na kuanza na rekodi 7 akiwa benchi kwenye mchezo dhidi ya Big Bullets uliochezwa Uwanja wa Bingu. Mgunda ni kocha wa muda akichukua mikoba ya Zoran Maki aliyeiongoza Simba kwenye mechi mbili za ligi na rekodi zake zipo namna hii:- Wazawa na wageni kukiwasha Mgunda alishuhudia…

Read More

NYOTA AZAM FC WAPEWA KAZI NGUMU

MASTAA wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Denis Lavagne raia wa Ufaransa ambaye amepewa dili la mwaka mmoja kuiona timu hiyo wakiongozwa na mshambuliaji Prince Dube wamepewa kazi ngumu kufunga kila nafasi. Azam FC baada ya kucheza mechi tatu, safu yake ya ushambuliaji imetupia mabao matano na kinara ni kiungo Tepsi Evance mwenye mabao…

Read More

MTIBWA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema wanahitaji kupata ushind kwenye mechi zote ambazo watacheza ikiwa ni pamoja na mchezo wao dhidi ya Yanga. Mtibwa Sugar imeanza msimu kwa mwendo wake ikiwa imecheza mechi tatu, ushindi ni kwenye mechi mbili ina sare moja pointi zake kibindoni ni 7. Kifaru amesema kuwa wanatambua wana kazi…

Read More

ISHU YA KISINDA NA ONYANGO IMEGOTEA HAPA

BEKI Joash Onyango anatajwa kubaki Simba SC mpaka mkataba wake utakapogota mwisho huku Tuisila Kisinda wa Yanga akitajwa kuwa nafasi yake itakuwa ndani ya kikosi hicho mpaka dirisha dogo. Mashauriano ya wachezaji haya yalikuwa yanasikilizwa na Kamati ya Sheria, Wanachama na Hadhi za Wachezaji ambapo Kisinda yeye alisajiliwa muda mfupi kabla dirisha la usajili kufungwa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa nne. Mbeya City wataikaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam FC imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Yanga inakaribishwa na Mbeya City ambayo imecheza mechi tatu. Mchezo wake wa mwisho…

Read More