VIDEO:KOCHA MGUNDA AWATAJA WATAKAOIKOSA PRISONS
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons huku akiwataja nyota ambao wataukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute ambaye anaumwa, Shomari Kapombe