
UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
UKURASA wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
UKURASA wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MCHEZO kati ya Namungo FC dhidi ya Mbeya Kwanza ambao ulitarajiwa kuchezwa leo Mei 13 umeweza kusimamishwa na haujachezwa kutokana na kutokuwepo kwa gari ya wagonjwa. Kabla ya mchezo huo uliotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu,hakukuwepo na gari ya kubebea wagonjwa, (Ambulance). Hata hivyo muda ambao waliweza kukaa kwa kusubiri gari la wagonjwa kwa muda wa…
TAARIFA rasmi kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa mchezaji wao Bernard Morrison amesimamishwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Simba umeeleza kuwa umempa mapumziko ya muda mpaka mwisho wa msimu mchezaji huyo. Taarifa imeeleza kuwa wamefikia hapo ili kumpa muda wa Morrison kushughulikia mambo yake…
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watajipanga kwa ajili ya mechi zijazo ndani ya Ligi Kuu Bara. Mchezo uliopita Kagera Sugar ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Simba na kuweza kuyeyusha pointi tatu mazima. Akizungumza na Saleh Jembe, Baraza amesema kuwa wamekuwa kwenye ratiba ngumu jambo ambalo linawafanya washindwe kwenda na…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa ikiwa watapata taarifa kwamba mchezaji wao Bernard Morrison anahitajika na Yanga watawapa hata kwa mkopo. Nyota huyo ambaye kwa sasa hajaonekana uwanjani kwa muda kwa kile ambacho Kocha Mkuu, Pablo Franco wa Simba amesema kwamba ana majeraha amekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ilikuwa ni timu ya mwanzo…
CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar unawapa nguvu ya kuanza kuwasaka wapinzani wao wajao kwenye mchezo wa ligi ambao ni Ruvu Shooting wazee wa mpapaso unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mabatini,Jumatatu.
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wanafikiria namna ya kuweza kumrudisha nyota wao wa zamani ndani ya kikosi hicho Shiza Kichuya ambaye kwa sasa anakipiga Namungo FC. Kichuya aliwahi kucheza Simba ambapo alijiunga na timu hiyo Julai 2016 kisha akasepa 2019 kuelekea Misri na akarudi tena ndani ya Simba Januari 15,2020 mwanzoni mwa msimu wa 2020/21…
STAA wa Tottenham Harry Kane alikuwa ni mwiba mkali mbele ya Arsenal baada ya kuwatungua mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Alianza kufunga dk ya 22 kwa mkwaju wa penalti kisha bao la pili alipachika dk ya 37 na msumari wa tatu ulipachikwa na nyota Son ilikuwa dk ya 47. Mpaka dk 90…
KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanachoangalia kwa sasa ni mechi zote zilizobaki kupata ushindi kwa kuwa wapo kwenye nafasi mbaya. Akizungumza na Saleh Jembe,amesema kuwa pointi 27 walizonazo sio salama licha ya kushinda mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar. “Tulianza kucheza vizuri mwanzo na tukapata nafasi kwa kumiliki na wapinzani wetu waliweza…
MARA baada ya kupata suluhu katika michezo mitatu mfululizo kwenye ligi kuu, benchi la ufundi la timu hiyo, limesema kuwa kwa sasa inatosha na litapambana kuhakikisha kuwa timu hiyo inapata ushindi katika michezo inayofuata na kuendeleza matumaini ya ubingwa msimu huu. Yanga imeshindwa kupata ushindi wala kufunga bao katika michezo mitatu iliyopita mfululizo dhidi ya…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba unahitaji kuteteta taji la Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwao hivyo watapambana kupata matokeo. Kesho, Mei 14 Simba ina kazi ya kusaka ushindi mbee ya Pamba katika mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
“HAYA mafanikio tuliyoyapata SportPesa kwa kipindi cha miaka mitano tuliyoyaanza Mei 9, 2017, tumepanga kuyaendeleza zaidi ya hapa. “Kikubwa tunataka kuona tunaendelea kuongoza hapa nchini katika uendeshaji kwa kuanzia mifumo mbalimbali ikiwemo kuweka uwazi kwa washindi na kisasa kabisa kutoka 20% hadi kufikia 40%. “Tunataka akifikiria kucheza ubashiri, basi afikirie kucheza na SportPesa na sio…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwenye mchezo wake dhidi ya Kagera Sugar kipindi cha pili aliamua kwenda na mfumo tofauti kwa kuwa walipata ushindi wa mapema. Mei 11, Uwanja wa Mkapa, Simba iliweza kushinda mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar na mabao yalitupiwa na Kibu Dennis dk ya 14 na John Bocco…
PEP Guardiola,Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa ni lazima nyota wake Kevin De Bruyne,(KDB) awe kwenye furaha kubwa kutokana na kutumia uwezo wake kufunga mabao kila anapopata nafasi. Kevin De Bruyne alitupia mabao 4 mbele ya Wolves wakati timu hiyo ikishinda mabao 5-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England na kuweza kusepa na pointi…