KOCHA NABI ATAJA MAMBO MATANO YA MAYELE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mambo muhimu ya Fiston Mayele yanayofanya aweze kuanza moja kwa moja kikosi cha kwanza. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa ametupia mabao 10 na pasi tatu katika mechi 17 ambazo Yanga imecheza ikiwa na pointi 45 kibindoni. Nabi amesema kuwa Mayele ana mambo mengi ya…

Read More

NYOTA WAWILI WA ARSENAL KUIKOSA ASTON VILLA

KLABU ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta itakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya Ligi Kuu England bila uwepo wa nyota wake wawili. Ni kipa Aaron Ramsdale pamoja na mshambuliaji Gabriel Martinelli ambao hawakuwepo katika safari ya kuibukia Midlands. Ramsdale yeye ana maumivu huku Marttinelli anapambania afya yake kwa kuwa anaumwa….

Read More

BOCCO HAJATUPIA NDANI YA LIGI MECHI 14

MSHAMBULIAJI wa Simba, John Bocco hajafunga bao ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22 katika mechi 14 ambazo amecheza. Ikumbukwe kwamba Bocco ni mshambuliaji na ana kibarua cha kutetea kiatu bora ambacho alitwaa baada ya kufunga mabao 16 na asisti mbili msimu wa 2020/21. Msimu huu mambo yamekuwa magumu kwa nyota huyo mzawa ambaye amecheza…

Read More

WATANO WA YANGA KUIKOSA KMC LEO KWA MKAPA

WAKATI leo Machi 19,2022 vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa na mchezo dhidi ya KMC kuna nyota wake wa kikosi cha kwanza ambao wanatarajiwa kuukosa mchezo huo. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kupiga hesabu ya kusepa na pointi tatu muhimu. Miongoni mwa wachezaji…

Read More

NYOTA IGBOUN AVUNJA MKATABA

NYOTA Sylvester Igboun (31) raia wa Nigeria amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun ametumia kanuni mpya ya FIFA inayowaruhusu raia wa kigeni wanaocheza mpira wa kulipwa nchini Urusi kusimamisha mikataba yao na kuondoka kwa muda. Tofauti na ilivyotarajiwa, mshambuliaji huyo ameamua kuuvunja…

Read More

LEEDS UNITED WAPINDUA MEZA MBELE YA WOLVES

ILIKUWA ni bonge moja ya mechi na upinduaji meza wa kipekee baada ya Leeds United kuwa nyuma kwa mabao 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers. Mabao ya Jonny Otto dk 26 na Francisco Machado Trincao dk 45+11 yaliwapa uongozi kwa muda Wolverhampton na baada ya Raul Jimenez kuonyeshwa kadi nyekundu dk 53 meza iliweza kuanza kupinduliwa….

Read More

HESABU ZA SIMBA KUTINGA FAINALI KIMATAIFA IPO HIVI

HUKU wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wao wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema kama wakifanikiwa kufuzu robo fainali ya michuano hiyo, basi watakuwa kwenye nafasi kubwa ya kufika fainali. Simba inaongoza Kundi D la Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

SIMBA WAANZA MATIZI BENIN

BAADA ya kuwasili leo Benin kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya ASEC Mimosas, kikosi cha Simba kimeanza mazoezi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 20,2022 ni wa hatua ya makundi, Simba ikiwa na pointi 7 huku ASEC 6 ndani ya kundi D. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

KMC YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA YANGA

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga katika mchezo wao wa ligi unaoatarajiwa kuchezwa Machi 19, Uwanja wa Mkapa. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa hakuna kitakachowazuia kupata matokeo mbele ya Yanga. Christina amebainisha kwamba kupoteza mchezo wao mbele ya Coastal Union kumewapa…

Read More

HESABU ZA YANGA KWA KMC ZIPO NAMNA HII

NJE ya uwanja, tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amewamaliza wapinzani wake, KMC wenye maskani yao Kinondoni, Dar es Salaam. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana kesho Jumamosi saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara raundi ya 18. Katika mchezo huo, Yanga itaingia uwanjani ikitaka kuendeleza rekodi…

Read More

JEMBE LILILOWATULIZA WAARABU KWA SIMBA LATAJWA

BAADA ya kupata pointi tatu za nyumbani, uongozi wa Simba umeibuka na kumtaja kiungo wao mkabaji Jonas Mkude ndiye aliyekuwa kikwazo kwa wapinzani wao RS Berkane ya nchini Morocco. Simba ilifanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Berkane katika mchezo wa nne wa Kundi D, uliopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Mkapa. Bao la…

Read More

WATATU WAREJEA YANGA KUIVAA KMC KWA MKAPA KESHO

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanajua kwamba mchezo wao dhidi ya KMC hautakuwa rahisi kesho Uwanja wa Mkapa Jumamosi huku baadhi ya wachezaji wakiwa wameanza kurejea. Ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 45 inakutana na KMC iliyo nafasi ya 7 na pointi 22 zote zikiwa zimecheza mechi 17. Kaze amesema:-“Chico ushindi, Farid…

Read More

SIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA ASEC

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba leo Machi 18 wamekwea pipa kuwafuata wapinzani wao RS Berkane kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho. Ni leo alfajiri kimeanza safari kwa ajili ya kwenda Benin kuikabili ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa marudiano ambao unatarajiwa kuchezwa Jumapili, Machi 20,2022. Simba itafikia Hotel ya…

Read More