>

KOCHA GEITA GOLD ATEMBEZA BONGE LA MKWARA

BAADA ya kupata ushindi wa kwanza kwenye ligi kuu kocha wa Geita Gold FC Fred Felix Minziro amefunguka kuwa kwa sasa timu hiyo itaendeleza kupata ushindi kwenye michezo inayokuja mbeleni. Minziro alisema aliichukua timu ikiwa kwenye wakati mgumu ikipata michezo migumu wakiwa ugenini ambayo yote walipoteza wakiwa viwanja vya Dar na waliporudi nyumbani wakapata alama…

Read More

SUALA LA UWANJA, YANGA WAIJIBU SIMBA

MARA baada ya Simba kuanza harakati za ujenzi wa uwanja mpya kwa kuanzisha rasmi mchango kwa ajili ya uwanja huo, uongozi wa Yanga ni kama umejibu mapigo kwa watani zao mara baada ya kuweka wazi mipango yao ya ujenzi wa uwanja. Simba tayari wameshaweka hadharani mchakato wa uchangiaji wa ujenzi wa uwanja huo kupitiasehemu mbalimbali jambo ambalo limeibua gumzo nchini ambapo tayari wapenzi na wanachama wakewameshaanza kuichangia timu…

Read More

AFCON IPO KAMA KAWAIDA

SHIRIKISHO la soka barani Afrika, (CAF) limethibitisha kuwa fainali za kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2022 zitafanyika nchini Cameroon kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hii inafuatia wiki kadhaa za mikwara na miongozo ya UEFA na FIFA kutaka AFCON isogezwe mbele. Na sasa ni rasmi maombi hayo yamegonga mwamba na CAF chini ya Rais Patrice Motsepe…

Read More

USAJILI UNAHITAJI UMAKINI,WAAMUZI MNA KAZI A KUFANYA

WAKATI mwingine sasa kwenye ulimwengu wa soka Bongo ni muda wa usajili wa dirisha dogo ambapo ni fursa kwa timu kuboresha pale ambapo wameona kuna matatizo. Usajili wa dirisha dogo huwa hauwi mkubwa sana kwa kuwa ni nafasi chache ambazo zinahitajika kufanyiwa kazi kulingana na ripoti ya benchi la ufundi. Jambo la msingi ambalo linapaswa…

Read More

NTIBANZOKIZA AIPIGA MKWARA SIMBA

SAID Ntinbanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Yanga ameweka wazi kwamba watapambana kwa jasho bila kuchoka ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Ni Simba ambao ni mabingwa watetezi huku Yanga wakiwa kwenye kasi ya kuufukuzia ubingwa hni nafasi ya kwanza kwenye msimamo na pointi zao ni 23 baada ya kucheza mechi 9 msimu wa 2021/22….

Read More

SIMBA:TUTAFANYA USAJILI WA MAANA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili watafanya usajili wa maana kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Dirisha dogo la usajili limefunguliwa Desemba 16 na linatarajiwa kufungwa Januari 15,2022 ambapo kwa sasa timu zimeanza harakati za usajili. Akizungumza na Championi Jumatatu,Mwenyekiti wa Simba,…

Read More

ROBO FAINALI YA CARABAO CUP KUCHEZWA WIKI HII

  Wiki yako inawezakuanza vyema kwa kutengeneza faida kupitia Meridianbet. Michezo ya robo fainali ya Carabao Cup na LaLiga Santander kuchezwa wiki hii. Mchongo upo hivi;   Jumanne hii, Sevilla watawaalika FC Barcelona katika muendelezo wa LaLiga nchini Hispania. Timu zote zinahitaji matokeo chanya ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi hiyo. Barca…

Read More