>

MASHABIKI RUKSA MECHI YA SIMBA V RED ARROWS KWA MKAPA

MASHABIKI 35,000 ni ruksa kuushuhudia mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 28. Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) ni mashabiki hao wataruhusiwa kuwa ndani ya uwanja kushuhudia mchezo huo. Na pia mashabiki hao wanapaswa kufuata taratibu na kanuni za kujilinda dhidi ya Corona. Unatarajiwa kuwa mchezo mkali…

Read More

MOLOKO NDANI YA YANGA AHUSIKA KATIKA MABAO MAWILI

JESUS Moloko ndani ya Yanga kwa msimu wa 2021/22 amehusika katika mabao mawili kati ya mabao 10 ambayo yamefungwa. Ametupia mabao mawili katika ligi akitumiq pasi ya mshambuliaji wa Yanga, Yacouba Songne raia wa Burkina Faso. Kwa sasa Yacouba yupo nje ya uwanja akipata matibabu zaidi baada ya kupata majeraha alipokuwa akitumikia timu hiyo kwenye…

Read More

MANCHESTER CITY YAICHAPA PSG NA MESSI NDANI

MBELE ya mastaa wakubwa ambao wanalipwa mkwanja mrefu ikiwa ni pamoja na Lionel Messi, Neymar Jr na Kylian Mbappe bado Manchester City waliibuka wababe. Ni katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Etihad ambao ulikuwa ni wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, City walisepa na pointi tatu mazima. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya PSG unaifanya timu hiyo…

Read More

DAKIKA 90 ZA KOCHA MPYA PABLO ALISHUHUDIA HAYA

KAZI imeanza kwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco baada ya kushuhudia namna Ligi Kuu Bara inavyokwenda na kasi ya wachezaji wake ambao alianza nao kikosi cha kwanza. Baada ya kuchukua mikoba ya Didier Gomes kete yake ya kwanza ilikuwa mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja wa CCM Kirumba na ubao ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba.Haya…

Read More

KOCHA MANCHESTER UNITED UZOEFU TATIZO

MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes ameweka wazi kuwa Michael Carrick hatakiwi kuwa kocha wa moja kwa moja ndani ya kikosi hicho kwa wakati huu kwa kuwa hana uzoefu. Carrick anaiongoza Manchester United kwa muda mara baad ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ole Gunnar Solkjaer kuchimbishwa kikosini hapo kutokana na mwendo mbovu wa tim…

Read More