SIMBA NA AZAM FC KITAWAKA,HAWA WATAKOSEKANA KWA MKAPA
KAZI kubwa inatarajiwa kufanyika leo Uwanja wa Mkapa kwa Dabi ya Mzizima kati ya Simba v Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Unakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana baada ya ule uliopita wa mzunguko wa kwanza ubao kusoma Azam FC 1-0 Simba na kuwafanya Simba kuyeyusha pointi tatu muhimu. Kocha Mkuu…