TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI

Mtu wangu wa nguvu nataka kusema na wewe kuhusu mchongo wa kupiga hela tu, na kila siku huwa nakuja na machimbo na mbinu kibao za kutengeneza mtonyo wako na kujiinua kiuchumi. Fuatilia story hii nzuri yenye mbinu za kutengeneza pesa haswa kwa njia ya kasino ya mtandaoni. Moja ya sehemu unayoweza kutengeneza mkwanja mrefu ni…

Read More

VIDEO:MWALIMU YANGA AMCHAMBUA MAXI

MWALIMU Yanga amemchambua nyota mpya wa Yanga Maxi ambaye ameonekana kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs. Katika kilele cha SportPesa Wiki ya Mwananchi Julai 22 Maxi aliupiga mwingi ndani ya dakika 45 na ubao ukasoma Yanga 1-0 Kaizer Chiefs ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Read More

KUMTOA BEKI HUYU AZAM FC, JIPANGE KWELIKWELI

MABOSI wa Simba na Yanga kwa sasa ikiwa watakuwa wanahitaji kupata saini ya beki wa kazi ndani ya kikosi cha Azam FC,Daniel Amoah lazima wajipange kwa kuwa amejifunga miaka mingine zaidi. Novemba 4, Amoah ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, George Lwandamina aliongeza dili la miaka miwili hivyo ataendelea kuwa ndani ya Azam…

Read More

NABI:TUTASHINDA MBELE YA PRISONS

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanaga amesema kuwa kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons wanaamini kwamba watashinda. Leo Mei 9, vinara hao wa ligi wanatarajia kusaka pointi tatu mbele ya Prisons ambao nao wanahitaji pointi hizo, Uwanja wa Mkapa. Maandalizi ya mwisho ameweka wazi kwamba yamekamilika na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa…

Read More

YANGA YAICHAPA MTIBWA 3-0, AZIZ KI ATUPIA

WAKATI Yanga ikishinda mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ni mabao ya Djuma Shaban dakika ya 32, Fiston Mayele dakika ya 37 na Aziz KI dakika ya 90 yalitosha kuipa pointi tatu Yanga inayofikisha pointi 10 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo. Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wachezaji walicheza kwa umakini kipindi…

Read More

MUDA WA KAZI KWA TAIFA STARS NI SASA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sasa ipo kambini ikiwa ni maandalizi ya mwisho kwa ajili ya AFCON 2023 inayotarajiwa kufanyika Ivory Coast. Hii sio kazi rahisi kwa wachezaji kwa kuwa kila timu inahitaji matokeo ndani ya uwanja katika dakika 90. Kila mchezaji anajukumu la kuhakikisha kwamba anapambania kombe na kufanya vizuri kila akipata…

Read More

MASHINE MBILI ZA KAZI HIZI HAPA SIMBA

KUTOKA Morogoro izilipo safu za milima Uluguru mpaka Dar ulipo Uwanja wa Mkapa, Uhuru na Chamanzi na mingine yote unayoitambua mwamba Shomari Kapombe bado yupoyupo. Ni dili la miaka miwili ameongeza ndani ya kikosi cha Simba hivyo atakuwepo mpaka 2025. Kapombe ni namba moja kwa mabeki wenye pasi nyingi ambazo ni 8 kwa msimu wa…

Read More

SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA MWAMBA HUYU HAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa Fadlu yupo likizo ila anafanya kazi kwa moyo mkubwa akiwa Tanzania. “Katika vitu ambavyo tunapaswa kujivunia kwa hali na mali Wanasimba ni uwepo wa Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Yupo likizo lakini alitoka Afrika Kusini na kuelekea Dubai kuongea na Mo. “Kwa sasa…

Read More

MWENDA NI KIJANI NA NJANO

ISRAEL Mwenda beki wa kupanda na kushuka sasa ni kijani na njano baada ya kutambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic. Nyota huyo alitambulishwa na Singida Black Stars msimu wa 2024/25 ambapo inatajwa kuwa dau lake ilikuwa ni milioni 15o lilimvuta akasaini mkataba ndani ya timu hiyo inayotumia Uwanja…

Read More