
MBIO ZA KUMPATA BINGWA WA LALIGA KUANZA 15 AUGUST
Je unajua kuwa zimebakia siku 4 pekee za kuanza kumsaka bingwa wa Laliga Hispania?. Basi anza safari yako ya ushindi ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania tengeneza jamvi lako la kuchagua mshindi wako unayeona atanyakua taji hilo mwisho wa msimu. Real Madrid ndio ambao wanapewa nafasi ya kwanza kabisa kuchukua taji hili wakiwa na wa…