
KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA KENGOLD
Hiki hapa kikosi cha Simba SC dhidi ya KenGold mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen, Chamou, Che Malone, Yusuph Kagoma. Kibu Dennis, Mavambo, Leonel Ateba, Jean Ahoua, Ellie Mpanzu. Akiba ni Ally Salim, Duchu, Nouma, Okejapha, Ngoma, Mutale, Mukwala, Awesu, Alex, Bashir. Mchezo huu unatarajiwa…