MANCHESTER CITY YATINGA FAINALI YA KOMBE LA FA ENGLAND
Manchester City imetinga fainali ya kombe la FA England kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea katika dimba la Wembley kwenye nusu fainali. FT: MAN CITY 1-0 CHELSEA ⚽ Bernardo Silva 84’ Manchester City imetangulia nusu fainali kumsubiri mshindi wa nusu fainali ya pili kati ya Coventry dhidi ya Manchester United itakayopigwa kesho katika dimba…