MUDA WA MALENGO KUANZA KUWA WAZI NI SASA

KUJENGA wazo la kuanza nalo mwanzo ni muhimu kwa kuwa litatoa picha kamili ya kile ambacho utakifanyia kazi wakati ujao. Hilo ni muhimu ikitokea wazo litakuwa la kawaida hata matokeo pia yatakuwa ya kawaida lakini kama wazo litakuwa kubwa ambalo linakuogopesha litaleta matokeo mazuri. Kila mmoja kwa sasa yupo kwenye mipango ya kujenga timu kwa…

Read More

KINDA MTANZANIA WA MIAKA 12 ANG’ARA URUSI

NI wazi kuwa Tanzania imeng’ara baada ya mwakilishi pekee kinda Mtanzania, Harrith Chunga Misonge mwenye umri wa miaka 12 kuwa gumzo. Misonge mkazi anaiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Phygital Football for Friendship akiwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika. Mwakilishi mwingine ni mtoto kutoka Afrika ya Kati lakini hajang’ara kama Misonge ambaye…

Read More

JURGEN ANAONDOKA LIVERPOOL

JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa hatakuwa ndani ya timu hiyo msimu ujao ikiwa ni maamuzi yake mwenyewe. Taarifa iliyotolewa na Liverpool imeweka wazi kwamba Klopp mwenyewe amesema hataendelea kuwa na timu hiyo baada ya msimu kuisha. Kocha huyo amesema:”Baada ya msimu kuisha sitaendelea kuwa katika nafasi ambayo nipo sasa ndani ya…

Read More

CHEKI DAKIKA 360 ZA MOTO YANGA FEBRUARI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga kwa sasa ana dakika 360 za moto kusaka ushindi kwenye mechi za ushindani zinazotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya Februari. Ikiwa inaongoza ligi na pointi zake 35 baada ya kucheza mechi 13 inakigongo cha moto Februari 5, Uwanja wa Mkapa itakuwa dhidi ya Mbeya City. Mbeya City imekuwa…

Read More

FEI TOTO ANA BALAA HUYO

MKALI wa pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika balaa lake sio jepesi akiwa uwanjani kutokana na kasi anayoendelea nayo kiungo Feisal Salum mali ya Azam FC. Timu hiyo kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 18 ikiwa imekusanya jumla ya pointi…

Read More

JONAS MKUDE AFUNGUKIA KARIAKOO DABI

LEGEND Jonas Mkude anayekipiga ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa hana hofu na Kariakoo Dabi kutokana na uzoefu alionao muda wowote yupo tayari kuchezwa kwani hiyo ni kazi yake. Ikumbukwe kwamba Mkude ni timu mbili kubwa amecheza kwa sasa katika ardhi ya Tanzania, alianza na Simba kisha akaibukia Yanga baada ya kukutana na Thank…

Read More

U 17 WAMEANZA MWENDO,WAUNGWE MKONO

HATUA moja kila wakati tunaona kwa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 kwa namna ambavyo wanafanya vizuri kwenye mechi za kuwania Kufuzu Tiketi ya Kombe la Dunia. Pongezi kwa Serengeti Girls baada ya kuweza kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Burundi mchezo uliochezwa Uwanja wa Urukundo,Ngozi nchini Burundi. Haukuwa mchezo mwepesi…

Read More

HII HAPA RATIBA YA YANGA KIMATAIFA

KUTOKA Ligi Kuu Bara namba 6 kwa ubora Afrika, Yanga inaoeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika na itakuwa na kete 3 2025 kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ni Januari 4 2025 dhidi ya TP Mazembe, Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni katika mchezo uliopita walipokutana Yanga iligawana pointi moja na miamba…

Read More

CHELSEA SAFARI IMEWAKUTA,BENZEMA TATIZO

REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Champions League imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi ya Chelsea. Ni Karim Benzema ambaye alikuwa ni mwiba kwa Chelsea baada ya kupachika bao la ushindi kwa Real Madrid katika muda wa nyongeza. Ilikuwa ni Uwanja wa Santiago Bernabeu mbele ya mashabiki 59,839 ubao ulisoma…

Read More