KMC V AZAM FC KUKIWASHA LEO

UWANJA wa Uhuru leo unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kukata na shoka kati ya KMC, Wanakino Boys dhidi ya Azam FC hawa matajiri wa Dar. Utakuwa ni mchezo wa 7 kuwakutanisha kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo rekodi zinaonyesha kwamba Azam FC wamekuwa wababe mbele ya KMC. Azam FC ni mara tatu imeshinda huku…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEKUWA NA TATIZO LA KIAFYA

SIMULIZI ya mzazi aliyekuwa na tatizo la afya baadaye akarejea kwenye ubora Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila mara ilitukosesha usingizi kama wanawe. Kwa jina ni Kamau kutoka Nyamira….

Read More

NJOMBE MJI WAANZA NA KICHAPO 8 BORA

WIDDEN Daphet, Kocha wa Njombe Mji amesema kuwa walishindwa kutumia nafasi ambazo walizipata jana katika mchezo wa hatua ya 8 bora. Huo ulikuwa ni mchezo wa kwanza wa kundi A katika fainali za First League huko Mwanza. Daphet amesema:”Tulishindwa kupata ushindi kwa kuwa hatukutumia nafasi ambazo tulizipata kwenye mchezo wetu. “Lakini bado tuna nafasi katika…

Read More

MUDA HAUSUBIRI KAZI LAZIMA IENDELEE

MUDA hausubiri na kila mmoja anapambana kusaka ushindi kwenye mechi ambazo anacheza hilo ni jambo la muhimu kwa kila timu. Wachezaji wanajituma na kufanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi na wapo ambao wamekuwa wakionyesha uwezo mkubwa ndani ya uwanja. Kila timu ina kazi kusaka ushindi ikiwa ni kwenye mechi za lala salama kwa sasa kutokana…

Read More

YANGA NDANI YA LINDI,KUIKABILI NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Ruagwa, Lindi kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Desemba 5,2022 kikosi kilisepa Dar na kuibukia Mtwara kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo huo. Yanga inatarajiwa kumenyana na Namungo ukiwa ni mchezo wa kufungia mzunguko wa kwanza 2022/23 mpaka sasa…

Read More

MSELELEKO WALIOUPATA AZAM FC KUMNASA MR HAT TRICK HUU HAPA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mseleleko ambao waliopata kuinasa saini ya kiungo kutoka Coastal Union Abdul Hamis Suleiman,’Sopu’ umetokana na kuwa na marafiki ndani ya Azam FC ambao ni wachezaji pia. Sopu alikuwa kwenye hesabu za Coastal Union wenyewe ambao walikuwa kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba,Simba na Yanga nao wanatajwa kuwa walikuwa wanahitaji…

Read More

MAKIPA PONGEZI MNASTAHILI,KAZI IINDELEE

KWENYE suala la kusaka ushindi uwanjani kuna wachezaji 11 ambao huwa wanapambana kwa ajili ya timu na ipo wazi ushindi unapatikana kwa ushirikiano wa kila mchezaji. Kwa habari ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kushindwa kupenya hatua ya mtoano wa Kombe la Dunia hiyo imeisha hakuna tutakachoweza kubadili zaidi ya maumivu. Tunajua kwamba…

Read More

SIMBA KUTUA BONGO LEO WAKITOKEA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kupoteza mbele ya Orlando Pirates wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika leo Aprili 25 wanarejea. Ni jana Aprili 24 ulipigwa mpira wa kazi na dk 45 Simba walikuwa imara katika eneo la ulinzi huku lile la ushambuliaji ikiwa ni hafifu kwa kuwa walikuwa wakitengeneza mashambulizi ya kushtukiza. Dakika ya 58 alipoonyeshwa…

Read More

MORRISON AANZA KUPIGA TIZI KWA SIRI

HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa kiungo wao mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison ameanza mazoezi ya binafsi ya siri kimyakimya. Mghana huyo yupo nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza maumivu ya nyonga ambayo aliyapata mara baada ya kurejea nchini akitokea kwao Ghana alipokwenda kwa ajili ya matatizo binafsi. Staa huyo ameachwa katika msafara wa…

Read More

RALLY BWALYA ATAMBULISHWA AMAZULU YA AFRIKA KUSINI

Kiungo Rally Bwalya raia wa Zambia ametambulishwa rasmi kuwa Mchezaji wa Timu ya Amazulu ya Afrika Kusini akitokea Simba Bwalya amesema “Kujiunga na Amazulu kwangu ni mafanikio makubwa kwani nimekuwa nikiitazama na kuifuatilia kwa muda mrefu” Timu ya Amazulu imemaliza Msimu wa 2021/22 ikiwa nafasi ya 7 katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini kati ya…

Read More

WASIWASI DAWA, WAARABU SIO WA KUWABEZA

WASIWASI ni dawa wanasema hivyo hivyo kwa wawakilishi kwenye anga la kimataifa Yanga hampaswi kujiamini kupita kiasi. Mwendo ambao mlianza nao kwenye kila hatua hakika unapaswa kupongezwa na ili uwe na mwendelezo mzuri ni muhimu kupata ushindi leo kwenu Yanga. Moja ya fainali kubwa na ngumu kupata kutokea ni hii hapa kwa kuwa kosa moja…

Read More

MABAO YOTE YAFUTWA NA KOCHA MSIMBAZI

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa matokeo yote ya mechi zilizopita amewaambia wachezaji wake wasahau na badala yake watazame kazi zinazofuata mbele. Mgunda akishirikiana na Seleman Matola kashuhudia kikosi hicho kikishinda mechi tatu, sare moja na kuambulia maumivu kwenye mchezo mmoja kwenye ligi. Ndani ya dakika 450, safu ya ushambuliaji imetupia mabao 10…

Read More