
VYUMA VITATU VIMEBAKI, WANNE WAFUNGA USAJILI YANGA
VYUMA vitatu vimebaki Simba, wanne wafunga usajili Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne
VYUMA vitatu vimebaki Simba, wanne wafunga usajili Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumanne
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wiki ijayo wanatarajia kuingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za ushindani kitaifa na kimataifa kwa msimu wa 2024/25. Mchezo uliopita Simba ilivuna pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji ulichezwa Uwanja wa KMC, Complex ilikuwa Machi 14 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 6-0 Dodoma Jiji….
SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki Muivory Coast, Pascal Serge Wawa. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanya vizuri msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Tayari uongozi wa Simba umeanza kufanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji wapyawatakaowasajili.Mmoja wa mabosi wa Simba, ameliambia Spoti Xtra kuwa, wachezaji hao baadhi wataachwa kutokana na umri mkubwa walionao….
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anataka rekodi mpya kwa wachezaji hao kupata matokeo mapema kwenye mechi zaoili kuongeza hali ya kujiamini. Simba kwa sasa ipo Tanga ikiungana na timu nyingine ambazo ni Singida Fountain Gate, Yanga na Azam FC zitakazoshiriki Ngao ya Jamii. Oliveira anakibarua cha kuiongoza Simba kwenye mchezo dhidi ya…
AZAM FC imefikisha pointi 8 kibindoni na kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City. Ni bao la Idris Mbombo ambaye alipachika dakika ya 60 kwenye mchezo huo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sokoine. Ni bao la kwanza kwa Mbombo msimu wa 2022/23 ambaye alikamilisha msimu wa…
Meridianbet imezindua promosheni kabambe kwa wachezaji wote wa mchezo maarufu wa Aviator, ikiwa ni nafasi adhimu ya kujishindia simu mpya kabisa za kisasa aina ya Samsung A25. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai 2025, kila wiki wachezaji wawili watakuwa na nafasi ya kushinda simu hizi kwa kushiriki tu kwenye mchezo wa Aviator kupitia tovuti rasmi…
WAKIWA mashuhuda wa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ukielekea kwa watani zao wa jadi Yanga, Simba wametusua katika vigongo vitatu vizito. Yanga imetwaa ubingwa wa ligi ikiwa na pointi 74 baada ya kucheza mechi 28 wawa na Simba yenye pointi 67. Ni safu ya ushambuliaji iliyofunga mabao mengi katika hili mastaa wa Simba walipambana kupachika…
KOCHA msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze amesema kuwa wanakwenda na wachezaji 21 ambao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club Africain unaotarajiwa kuchezwa Novemba 9,2022
MWENDO unazidi kusonga kwa sasa kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni lala salama ya moto na yenye ushidani mkubwa. Wakati wa kupanda kile ambacho ulikuwa unastahili ni sasa na ambaye ataweza kushinda atacheka na yule ambaye atashindwa tabasamu litayeyuka kwake. Huu ni mzunguko ambao unakwenda kuamua nani anakuwa bingwa na nani anakwenda…
KIPA namba moja ndani ya kikosi cha Simba, Aishi Manula ameongeza kandarasi ya miaka mitatu kuweza kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo. Awali nyota huyo alikuwa anatajwa kuingia anga za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini na kulikuwa na mazungumzo na timu mbalimli. Kipa huyo ni chaguo la kwanza ndani ya Simba ambapo kwa sasa yupo…
Hawavutii tena kuwatazama Hawana mchezaji tishio hata anayevutia sokoni Hawashiriki Ligi ya Mabingwa Africa Hawana mchezaji hata mmoja timu ya taifa… WAPO KATIKA KIPINDI CHA MPITO
GUEDE ahesabiwa siku Yanga,Simba inaweka tu ndani ya Championi Ijumaa Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz/newspaper-purchase/792 Au M-Paper: https://rifaly.com/newspaper/199724/Championi%20Ijumaa
KOCHA Mkuu wa Simba, Zoran Maki ameweka wazi kuwa bado kazi ya mshambuliaji wake Dejan itazidi kuonekana kwa kuwa ni mwanzo pekee
MIONGONI mwa vijana wanaokipiga ndani ya Dodoma Jiji kwa wakulima wa Zabibu ni pamoja na Zidane Omary Sereli. Nyota huyo kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar alianza benchi akisoma mchezo utakavyokuwa. Katika mchezo wa wa Januari 14 dhidi ya Geita Gold alianza kikosi cha kwanza. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Nyankumbu, Geita Dodoma Jiji ilipoteza…
UONGOZI wa Simba leo Jui 16 2023 umemtambulisha mdhamini mpya ambaye atasimamia masuala ya utengenezaji wa jezi za timu hiyo ambayo imeshuhudia ubingwa wa ligi ukienda kwa watani zao wa jadi Yanga. Awali mpango kazi wa jezi za Simba ulikuwa unasimamiwa na VunjaBei ambaye alikuwa akitenda kazi hiyo baada ya kushinda tenda na alitoa ajira…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Yacouba Songne anaweza kurejea uwanjani muda wowte kuanzia sasa baada ya kuwa nje kwa muda akitibu goti. Yacouba aliumia katika mchezo dhidi ya Geita Gold Oktoba 2, mwaka jana ambao Yanga waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Jesus Moloko ambapo yeye alitoa pasi ya bao hilo. Daktari wa Yanga, Youssef…
Real Madrid imetwaa kombe la UEFA Super Cup kwa mara ya sita kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Mabingwa watetezi wa Europa League, Atalanta katika dimba la PGE Narodowy mjini Warsaw, Poland. FT: Real Madrid 2-0 Atalanta ⚽ Valverde 59’ ⚽ Mbappé 68’