
KIWANGO CHA SAIDO CHAMUIBUA KOCHA
BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Said Ntibazonkiza ‘Saido’ kucheza mechi yake ya kwanza msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameonekana kuvutiwa na uwezo wake. Saido alicheza mechi dhidi ya Ruvu Shooting iliyochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar ambapo aliingia kipindi cha kwanza akitokea benchi kuchukua nafasi ya Yacouba Songne aliyeumia. Huo unakuwa ni mchezo wake wa kwanza ndani…