
KOCHA TANZANIA PRISONS:PENALTI YA SIMBA NI HALALI
SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, amesema kuwa bao la penalti ambayo walipata Simba ni halali kwa kuwa ilitolewa na mwamuzi kutokana na makosa ambayo walifanya. Bao hilo lilifungwa na Meddie Kagere na lilionekana kuwa na utata kutokana na wachezaji wa Prisons kumfuata mwamuzi kulalamika juu ya penalti hiyo. Kazumba aliliambia Championi Jumamosi kuwa:-“Simba…