
Mamilioni ya Pesa Kutolewa na Meridianbet Leo
Timiza ndoto zako leo hii ukiwa na mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kwa kubeti mechi zako za ushindi. Chelsea, AS Roma, RB Leipzig na wengine kibao wapo dimbani kuhakikisha hutoki patupu. Tukianza na BUNDESLIGA kule Ujerumani kuna mechi za pesa ambapo FC Heidenheim atamualika kwake VFB Stuttgart ambao walipata ushindi kwenye mechi yao iliyopita. Mwenyeji…