Mamilioni ya Pesa Kutolewa na Meridianbet Leo

Timiza ndoto zako leo hii ukiwa na mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kwa kubeti mechi zako za ushindi. Chelsea, AS Roma, RB Leipzig na wengine kibao wapo dimbani kuhakikisha hutoki patupu. Tukianza na BUNDESLIGA kule Ujerumani kuna mechi za pesa ambapo FC Heidenheim atamualika kwake VFB Stuttgart ambao walipata ushindi kwenye mechi yao iliyopita. Mwenyeji…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA TP MAZEMBE

WAWAKILISHI wa Tanzania, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic leo wana kazi kusaka pointi tatu ugenini dhidi ya TP Mazembe mchezo wa hatua ya makundi.Hili hapa jeshi la Yanga ambalo litaanza ugenini kwenye mchezo wa tatu kimataifa: Diarra, Dickson Job, Bacca, Maxi Nzengeli, Khalid Aucho, Kouassi Yao, Kennedy Musonda, Pacome Zouzoua, Mudathir Yahya, Nickson…

Read More

JUMAMOSI YA MSHINDO IMEFIKA, KUWA MILIONEA NA MECHI LEO

Je unajua kuwa unaweza kuwa milionea leo hii ukibashiri na mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet?. Basi kama bado hujui habari ndio hiyo hapa ndio sehemu pekee ya wewe kutimiza ndoto zako. Ligi ya magoli mengi, BUNDESLIGA kule Ujerumani itarindima leo ambapo FC Augsburg atamleta kwake Bayer Leverkusen ya Alonso ambao ndio ambao ndio mabingwa watetezi…

Read More

KUWA MILIONEA NA MECHI ZA LIGI LEO

Wababe wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, Ijumaa ni siku yako ya bahati kwani unaweza ukapiga pesa zaidi ya Milioni kwa dau lako dogo tuu la utakaloweka. Unangoja nini sasa?. Jiunge na mabingwa sasa. Ufaransa leo hii LIGUE 1 nayo kuna mtanange mmoja wa Toulouse FC dhidi ya Saint- Etienne ambao wapo nafasi ya 16…

Read More

MKALI WA PASI ZA MWISHO BONGO

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja katika wakali wa kutengeneza pasi za mwisho ndani ya NBC Premier League msimu wa 2024/25. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/34 nyota huyo alitoa jumla ya pasi saba alikuwa ni namba mbili na namba moja alikuwa Aziz Ki wa Yanga aliyetoa pasi 8. Ki kwa sasa ni…

Read More

JESHI LA YANGA NDANI YA DR CONGO HILI HAPA

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama nchini DR Congo baada ya kukwea pipa Desemba 12 2024 ikiwa ni maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Desemba 14 2024 utakuwa ni watatu kwa Yanga kushuka uwanjani katika anga la kimataifa. Kwenye orodha hiyo…

Read More

ALHAMISI NI KWAAJILI YA EUROPA LEAGUE

Je unajua kuwa leo hii ni zamu yako na wewe kuchukua maokoto na wakali wa Meridianbet?. Ingia sasa kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la ushindi kwani odds kubwa zipo hapa. Pesa ipo hapa kwenye mechi ya FC Porto dhidi ya Midtjyland ya kule Denmark ambao walipotez amechi yao iliyopita huku mwenyeji yeye akitoa…

Read More

MWENDA ACHEKELEA KUWA NDANI YA YANGA

BEKI wa kupanda na kushuka Israel Mwenda ameanza mazoezi ikiwa ni maandalizi kwa mechi za ushindani msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic. Mwenda ambaye ni beki ameibuka hapo akitokea kikosi cha Singida Black Stars alitambulishwa rasmi Desemba 11 2024 kuwa ni njano na kijani. Amekutana na baadhi…

Read More