
PIGA MAOKOTO NA UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Uefa Champions League itaendelea leo Jumatano na viwanja mbalimbali barani ulaya vitawaka moto kutoka na michezo mikali itakayopigwa, Huku wewe ukiwa na nafasi ya kunyakua kitita cha kutosha. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ni michezo mikali ambayo itakutanisha miamba ya soka barani ulaya ambayo inakwenda kucheza michezo yao ya raundi ya…