SIMBA KUBADILI MBINU MBELE YA KEN GOLD

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold watabadili mbinu kupata matokeo chanya. Simba itawakaribisha Ken Gold, Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa kwaza unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Timu hiyo metoka kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

ADEMOLA LOOKMAN ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA (BALLON D’OR)

Mshambuliaji wa klabu ya Atalanta ya Italia na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookman ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Shirikisho la soka Afrika (Ballon d’or) kwenye tuzo za CAF zilizofanyika Mjini Marrakesh , Morocco. Lookman (27) amewashinda Simon Adingra wa Ivory Coast, Serhou Guirassy wa Guinea, Achraf Hakimi wa Morocco na…

Read More

KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF MWAKA 2024… ONANA WA MAN UTD NDANI

Kikosi bora cha Mwaka 2024 Afrika kwa Wanaume, Ronwen Williams ametemwa huku Andre Onana wa Manchester United akijumuishwa sambamba na Mohammed Kudus, Ademola Lookman na Mohammed Salah. KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF 🇨🇲 André Onana 🇲🇦 Achraf Hakimi 🇸🇳 Kalidou Koulibaly 🇨🇩 Chancel Mbemba 🇲🇦 Sofyan Amrabat 🇨🇮 Franck Kessié 🇲🇱 Yves Bissouma 🇬🇭 Mohammed…

Read More

YANGA WANA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa una matumaini makubwa kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali kwenye anga la kimataifa licha ya kuwa na pointi moja kibindoni. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic baada ya mechi tatu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika imegote kuvuna pointi moja baada ya kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1…

Read More

YANGA KIMATAIFA MPAKA ROBO FAINALI

BAADA ya kuvuna pointi moja kwenye anga la kimataifa Yanga wameweka wazi kuwa safari yao imeanza upya kuelekea kwenye kutimiza malengo kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic baada ya mechi tatu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika imegote kuvuna pointi moja baada ya kulazimisha sare ya…

Read More

YANGA KIMATAIFA NA FAIDA YA POINTI MOJA

BAO la Prince Dube liliwapoteza TP Mazembe mazima kwa kuwa walikuwa wanaamini kazi imeisha lakini jioni wakatunguliwa bao moja na kugawana pointi mojamoja na Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Faida ya kutumia washambuliaji wawili imekuwa na faida unaona ni Clement Mzize alikuwa eneo la tukio akafanya jaribio kuelekea langoni na kipa akatema unakutana na…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KIMATAIFA KWA MKAPA, AWESU NDANI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba ikiwa ni hatua ya makundi watakuwa kazini Uwanja wa Mkapa kusaka pointi tatu. Ni mchezo muhimu dhidi ya SC Sfaxien ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki ambao wamejitokeza kwa wingi uwanjani.  Hiki hapa kikosi kinachotarajiwa kuanza:- Mousa Camara, Fabrice Ngoma, Jean…

Read More

UBAYA UBWELA KIMATAIFA KUONYESHWA KWA MKAPA

Uongozi wa Simba umebainisha kuwa utaonyesha ubaya ubwela kwenye mchezo wao wa kimataifa dhidi ya SC Sfaxine kwa lengo la kufufua matumaini kutinga hatua ya robo fainali. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 15 ikiwa ni mchezo wa tatu kwa Simba katika anga la kimataifa ikiwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya…

Read More

YANGA YAVUNA POINTI KIMATAIFA UGENINI, KAZI NZITO

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic imevuna pointi moja kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutoshana nguvu kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa TP Mazembe ukisoma TP Mazembe 1-1 Yanga. Katika mchezo wa Desemba 14 ambao ni watatu, Yanga ilianza kufungwa dakika ya 42 kupitia kwa Cheikh Fofana ambaye aliingia…

Read More