>

MAKOCHA SIMBA KUPIGWA CHINI

MAMBO ni magumu kwenye benchi la ufundi la Simba linaloongozwa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ambapo inaelezwa kuwa muda wowote ule wanaweza kuchimbishwa. Mpaka wakati huu makocha wa timu hiyo ikiwa ni Gomes pamoja na Hitimana Thiery ambaye ni kocha msaidizi wa timu hiyo hawajui hatma yao kama wataendelea kubaki ama la. Ilikuwa ni Oktoba…

Read More

SALAH NI MZEE WA MAREKODI TU MAJUU

MOHAMED Salah, nyota anayekipiga ndani ya Liverpool inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp amekuwa na wakati mzuri kwa msimu huu wa 2021/22 akiendelea kuandika rekodi matata kila iitwapo leo. Raia huyo wa Misri anatajwa kuwa mchezaji bora duniani kwa zama za wakati huu na ni tegemeo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Misri…

Read More

SIMBA MATUMAINI MAKUBWA NDANI YA LIGI KUU BARA

KOCHA msaidizi wa Simba, Hitimana Thiery amesema kuwa watarudi kwa nguvu zote kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika michezo ya ligi kuu mara baada ya kumaliza ratiba yao ya michuano ya ligi ya Mabingwa. Simba mpaka sasa katika michezo ya ligi kuu imefanikiwa kucheza michezo miwili pekee dhidi ya Biashara United na Dodoma Jiji ambapo wamefanikiwa…

Read More

RONALDO :KUKOSOLEWA NI SEHEMU YA KAZI

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amebainisha kwamba kukosolewa ni sehemu ya kazi jambo ambalo yeye hana mashaka nalo katika maisha yake ya kila siku. Nyota huyo amewapuuza wale ambao wamekuwa wakimkosoa kwa kudai kuwa amekuwa akilala vizuri licha ya mwendo mbovu wa matokea wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Ronaldo aliiongoza timu hiyo…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU AZAM FC

OFISA Habari wa Yanga,Haji Manara amesema kuwa licha ya kutambua ubora wa Azam FC lakini anaamini kuwa kikosi cha Yanga kina uwezo mkubwa wa kuondoka na ushindi mbele ya Azam FC. Yanga Oktoba 30, katika Uwanja wa Benjamini Mkapa watakuwa na kibarua cha kucheza na Azam FC huku wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa bao…

Read More

CONTE ATAJWA KURITHI MIKOBA YA OLE

KLABU ya Manchester United inatajwa kuwa mbioni kumfukuza kazi kocha wake, Ole Gunner Solskjaer baada ya kipigo cha 5-0 kutoka Liverpool. Kichapo hicho kimewakasirisha wengi ikiwa ni pamoja na mashabiki jambo ambalo limewafanya wasiwe na imani na kocha huyo. Taarifa zimeeleza kuwa mabosi wa United wamewasiliana na Kocha Antonio Conte ili kukaa mezani na kuzungumza…

Read More

NGUMU KUMFANANISHA SALAH NA RONALDO

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool ambaye anaamini kwamba nyota wake Mohamed Salah ni moja ya wachezaji bora kwa sasa duniani ila ni ngumu kumfananisha na Cristiano Ronaldo ambaye anakipiga ndani ya Manchester United. Miamba hao wawili wanakiwasha ndani ya Ligi Kuu England huku ile safu ya ushambuliaji ya Liverpool ikiwa ni namba moja kwa…

Read More

POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA MABINGWA

UONGOZI wa Polisi Tanzania umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Oktoba 27 wataendelea pale ambapo wameishia kwa kucheza pira chukuchuku ili waweze kusepa na pointi tatu muhimu. Vinara hao wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi tisa kibindoni baada ya kucheza mechi tatu na kutupia mabao matano…

Read More

MWIJAKU AHADI YAKE MPAKA MWANASHERIA

MHAMASISHAJI wa Klabu ya Simba ambaye pia ni mtangazaji Mwijaku ameweka wazi kuwa hawezi kuzungumza ishu yoyote ile kuhusu ahadi yake ya kuweza kutembea bila nguo ambayo aliweza kuiweka hivi karibuni. Shabiki huyo wa Simba aliweka ahadi kwamba ikiwa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes itafungwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika angeweza…

Read More

BECKHAM ALAMBA DILI LA MAANA

DAVID Beckham imeripotiwa kwamba amelamba dili la maana la ubalozi nchini Qatar kwa malipo ya pauni milioni 150 sawa na shilingi bilioni 475. Dili hilo litamfanya staa huyo wa England kuweza kuuza sura kwenye Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Gwiji huyo alipigwa picha akiwa nchini humo mapema mwezi huu akitazama maeneo kadhaa ikiwemo viwanja…

Read More

OLE ANAONA MAMBO MEUSI

OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa kichapo cha mabao 5-0 mbele ya Liverpool ni moja ya siku nyeusi kwake katika kazi ya kuwaongoza mastaa wa Manchester United. Ikiwa Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu England ilishuhudia vijana wa Kocha Mkuu Jurgen Klopp wakiwatungua mabao matano kupitia kwa Naby…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA KASI YA YANGA

MWENYEKITI wa Simba, Murtaza Mangungu, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia wasiogope kasi ya wapinzani wao Yanga huku akiahidi kuubakisha ubingwa wa Ligi Kuu Bara Msimbazi.   Kauli hiyo ameitoa baada ya kuiona Yanga ikiwa kileleni ikiwa na pointi tisa, ikishinda michezo yakemitatu ya ligi katika msimu huu. Simba yenyewe imecheza michezo miwili kati ya hiyo wametoka suluhu na Biashara United huku ikiwafungaDodoma Jiji bao 1-0, lililofungwa na Mnyarwanda, Meddie Kagere. “Mechi…

Read More

SENZO AKUBALI UWEZO WA NABI

KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Yanga, Senzo Mbatha Mazingisa amesema kuwa kila sikuanazidi kufurahishwa na utendaji kazi na juhudi kubwa inayoonyeshwa na wachezaji wa timu hiyo kuwa ni kazikubwa inayofanywa na benchi la ufundi chini ya kocha Nabi. Katika msimu huu, Yanga ilianza kwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii na hadi sasa Yanga imekaa kileleni katika msimamo wa ligi Kuu kwa pointi tisa katika michezo yote mitatu iliyocheza.  Senzo amesema kuwa shukrani…

Read More