
AZAM FC:TUTAFUNGA MPAKA SHULE,YANGA TUMEWAFUNGA SANA
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC a,ewela wazi kuwa baada ya kuifunga Yanga sasa wanaamini kwamba watafunga mpaka shule hadi Ramadhan. Kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa Uwanja wa Amman, Azam FC iliwaondoa Yanga ambao walikuwa ni mabingwa watetezi kwa penalti 9-8 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu bila kufungana. Sasa leo Januari 13,…