
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Mbeya City, Paul Nonga, ujanja wake wa kucheka na nyavu ni kwenye Uwanja wa Sokoine. Msimu wa 2021/22 ametupia mabao matatu ndani ya ligi kati ya 17 ambayo yamefungwa na timu hiyo baada ya kucheza mechi 15. Ameanza kikosi cha kwanza mechi 12 kati ya 15 na alitibua rekodi ya Simba…
WAKIWA ugenini walishuhudia ubao ukisoma Napoli 2-4 Barcelona baada ya dakika 90. Ni mabao ya Lorenzo Insigne dakika ya 23 kwa mkwaju wa penalti na Matteo Politano dakika ya 87 kwa upande wa Napoli. Ni Jordi Alba dakika ya 8,Frenkie de Jong dk 13, Gérard Pique yeye alitupia bao moja dk ya 45 na hapo…
BAADA ya kukamilisha mzunguko wa kwanza wakiwa ni vinara na pointi zao 39 sasa wamebakiwa na mechi 6 ugenini na nne wanatarajiwa kuzicheza nje ya Dar. Katika mechi 15 mzunguko wa kwanza Yanga ilicheza mechi 9 ugenini na nyumbani ilicheza mechi 6, ilishinda mechi 12, sare 3 huku ikitupia jumla ya mabao 25. Mzunguko wa…
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umetoa onyo kali kuwa wapinzani wao wasifikiri ratiba ya mashindano ya kimataifa itawapotezea hesabu walizonazo kwenye Ligi Kuu Bara. Simba kwa sasa ipo bize na michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa Kundi D, ambapo wikiendi hii itacheza dhidi ya RS Berkane nchini Morocco. Kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara,…
Majogoo watawika mbele ya Chelsea? Wikiendi ya kibabe inakuletea soka bomba kutoka ligi mbali mbali ulimwenguni. Mida ya ya kuchakata majamvi ya ushindi inaanza mapema kabisa, na Meridianbet wao wamekuhakikishia Odds kubwa mapema kabisa na machaguo lukuki. Wikiendi hii Chelsea anavaana uso kwa uso na majogoo wa Uingereza Liverpool kwenye fainali ya Carabao Cup. Pande…
MBWANA Makata, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji yenye maskani yake Dodoma ameondoolewa katika nafasi hiyo kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo. Mchezo wa mwisho kukaa kwenye benchi ilikuwa ni Februari 20 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma KMC 2-0 Dodoma Jiji na kufanya wapoteze pointi tatu mazima. Ndani ya michezo mitano…
AWALI uongozi wa Simba uliwatangazia wachezaji kuwapa bonasi ya dola 100,000 (Sh mil 231) katika kila mechi watakayoshinda, lakini kutokana na ugumu wa mechi ijayo dhidi ya RS Berkane ya Morocco, matajiri wa timu hiyo wameongeza mezani dola 50,000 (Sh mil 115.5) hivyo jumla mastaa hao watavuna zaidi ya Sh mil 300. Wikiendi hii Simba…
MMOJA wa mashabiki wa Yanga, mwenye asili ya Kimasai anayefahamika kwa jina la Mauya mkazi wa Dakawa, amemzawadia ng’ombe mzima mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa na mabao 7 na kinara ni Relliats Lusajo ambaye ametupia kibindoni mabao 10. Ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana mbele ya…
VIJANA wa Jurgen Klopp waliamua kushusha mvua za mabao mwa wapinzani wao Leeds United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England kwa kusepa na pointi tatu mazima. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield ulisoma Liverpool 6-0 Leeds United. Ni Mohamed Salah alitupia mawili na yote kwa penalti dakika ya 15 na 35 huku…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
UWANJA wa Manungu Complex mchezo umekamilika na ubao umesoma Mtibwa Sugar 0-2 Yanga. Ni dakika ya 45+5 bao hilo lilipachikwa na kuwafanya Mtibwa Sugar wasiwe na chaguo la kufanya. Mtupiaji wa bao la kuongoza ni Said Ntibanzonkiza ambaye ametumia pasi ya Feisal Salum. Hakuna timu iliyoonyeshwa kadi ya nyekundu huku timu zote mbili zikicheza kwa…
LEO Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar ina kazi ya kusaka pointi 3 mbele ya Yanga ambao nao pia wanahitaji hizo pointi. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Diarra Djuma Farid Bangala Mwamnyeto Aucho Sure Boy Nkane Said Feisal Mayele Akiba Mshery Boxer Yassin Bacca Kaseke Ambundo Balama Mauya Makambo
WAKATI Simba SC ikiambulia pointi moja mbele ya US Gendarmerie juzi Jumapili, ilifanya umafia kwa kuzungumza na wakala wa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Victorien Adebayor ili kumsajili. Adebayor ni kati ya wachezaji tegemeo katika kikosi cha Gendarmarie ambaye katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane msimu huu alifunga mabao mawili. Katika mchezo huo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika uliomalizika kwa sare ya…
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga,amesema kuwa Uwanja wa Manungu ambao unatarajiwa kutumika leo kwamchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar kwao sio tatizo. Yanga ambao ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 36, wanatarajia kukutana na Mtibwa Sugar iliyokusanya pointi 12 na zote zimecheza mechi 14. Akizungumza na Championi Jumatano, Bumbuli alisema kila mechi wanazocheza kwao ni muhimu bila kujali wanacheza wapi kwa…
BAADA ya kuzitazama rekodi zake anapocheza na Simba, Kocha Mkuu wa RS Berkane, Florent Ibenge, amekiri kukutana na upinzani mkali dhidi ya timu hiyo katika michuano ya kimataifa. Ibenge amekutana na Simba mara nne katika michuano ya kimataifa wakati alipokuwa akiinoa AS Vita ya DR Congo ambapo katika michezo hiyo amepoteza mitatu na akishinda mmoja. Ibenge kwa sasa akiwa kocha mkuu wa RS Berkane ya nchini Morocco, anatarajiwa kukutana na Simba katika mchezo…
LEO Februari 23, Uwanja wa Manungu unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Mtibwa Sugar v Yanga majira ya saa 10:00. Timu hizo zimekuwa na matokeo ya kushangaza kila zinapokutana uwanjani hivyo leo dakika 90 zitaamua nani atakuwa nani. Haya hapa ni matokeo ya mechi za hivi karibuni walipokutana kwenye ligi:- Yanga imeshinda…