
KAPOMBE KUIKOSA DODOMA JIJI KWA MKAPA
BEKI bora katika kazi ngumu na chafu uwanjani Shomari Kapombe leo Machi 7,2022 anatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji. Kapombe aliumia katika mchezo uliopita mbele ya Biashara United na alikwama kuyeyusha dk 90 badala yake alitumia dk 30. Aliweza kutoa pasi mbili za mabao yaliyofungwa na Pape Sakho pamoja na Mzamiru Yassin….