
EVERTON YAPIGWA 5-0,YATABIRIWA KUSHIRIKI CHAMPIONSHIP
JAMIE Carragher amesema kuwa Klabu ya Everton ipo kwenye hatari ya kuwa katika Championship baada ya kukubali kichapo cha mabao 5-0 dhidi ya Spurs. Frank Lampard ambaye ni Kocha Mkuu wa Everton ameshuhudia timu hiyo ikipoteza katika mechi nne za Ligi Kuu England. Carragher ambaye ni mchambuzi ndani ya skysports amesema:”Ikiwa unaona timu inakuwa na…