
MKAZI MOROGORO AHITIMISHA SPORTPESA BET BONANZA NA TSH. 15,888,000
MKAZI wa Lukobe, Morogoro, George Kimaro leo asubuhi ameibuka mshindi wa kufungia kampeni ya Bet Bonanza ya SportPesa, baada ya kujishindia kitita kkikubwa zaidi cha shilingi 15,888,000 katika droo ya mwisho ya Bet Bonanza ambayo imefika tamati siku ya leo. Katika droo hiyo ambayo pia imehusisha washindi wa droo ya shilingi milioni moja moja kwa…