
MTAMBO WA MABAO YANGA HATIHATI KUIKOSA AZAM
IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo tegemeo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amepata majeraha yaliyomfanya aondolewe kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, hivyo kuna uwezekano mkubwa akaikosa mechi ijayo ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam itakayochezwa Aprili 6, mwaka huu. Kwa sasa Taifa Stars ipo kambini kwa ajili ya kucheza mechi za…