
ISHU YA MAYELE KUSEPA YANGA YAFAFANULIWA
UONGOZI wa Yanga umefunguka ishu ya mshambuliaji wao wa kati kipenzi cha mashabiki, Fiston Mayele kuhusishwa kujiunga na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Yanga wametoa tamko rasmi kuwa mzee huyo wa kutetema hataondoka kutokana na kuwa na mkataba wa kuendelea kukipiga ndani ya klabu hiyo. Mayele kwa sasa ndiye mshambuliaji tegemeo wa Yanga akiwa ndiye…