ANA KITU HUYU NYOTA MPYA WA YANGA
ANATAJWA kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wapo kwenye mpango wa kuboresha kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi
ANATAJWA kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wapo kwenye mpango wa kuboresha kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi
UONGOZI wa Tabora United umeweka wazi kuwa kwa sasa wameanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Azam Sports Federation dhidi ya Nyamongo kutoka Musoma. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita katika Ligi Kuu Bara uliochezwa Februari 19 ubao ulisoma Tabora United 0-0 Azam FC wakagawana pointi mojamoja. Pointi moja kwa Azam FC imewapa jumla ya pointi 36…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
ZIMEBAKI siku tatu kabla ya Mzizima Dabi kupigwa ndani ya Uwanja wa Azam Complex, mastaa wa Azam FC ikiwa ni pamoja na Prince Dube, James Akamiko, Idd Suleiman, (Nado) wanapewa mbinu kuikabili Yanga. Mastaa hao wapo chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo aliyetoka kukiongoza kikosi kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya Coastal Union, kwenye…
OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe, amefunguka kwamba, kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15, mwaka huu, watatikisa nchi kwa usajili mkubwa watakaofanya. Usajili wa dirisha dogo ulifunguliwa Desemba 16, 2022 na unatarajiwa kufungwa Januari 15, 2023, huku Yanga ikiwa tayari imemsajili kiungo, Mudathir Yahya. Akizungumza na Spoti Xtra, Kamwe alifunguka kuwa: “Kwa…
Hayawi hayawi sasa yamekuwa na Waswahili husema kuwa usiku wa deni haukawii kukucha na hii inatupeleka moja kwa moja mpaka Uingereza ambapo ndio ligi iliyobaki pekee haijatoa bingwa wa EPL. Je ni Pep au Arteta? EPL leo katika dimba la Emirates, Arsenal watakuwa wakisaka pointi tatu za ubingwa dhidi ya Everton ambao wapo nafasi ya…
Hauhitaji kuwa gwiji wa ubashiri kushinda beti! Watu wengi Duniani wamekuwa wakipenda kubashiri mechi mbalimbali na kujiweka katika nafasi ya kushinda pesa kubwa, ambazo wakati mwingine hubadilisha kabisa maisha yao. Lakini je ulishawahi kubashiri kwa kutumia kitochi au bila bando? Tunaweza kusema kwa simu ya batani, kwa kitochi, au kiswaswadu uukiwa huru bila kutumia Intaneti? …
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa Dabi dhidi ya Simba haukuwa rahisi wanawapa pongezi kwa kuwa walikuwa na mchezo mzuri jambo ambalo linapandisha thamani ya ligi ya Tanzania na ulikuwa ni mchezo wa mbinu
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba mshambuliaji wao Fiston Mayele kwa sasa hesabu zake ni kuweza kufunga mabao zaidi baada ya kukosa penalti mbele ya Tanzania Prisons. Ilikuwa Mei 9,2022 Uwanja wa Mkapa Mayele aliweza kukosa penalti hiyo kwenye mchezo wa ligi na ni penalti ya kwanza kwa Yanga kukosa. Fredrick Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa…
HAJI Manara, Mtanzania ambaye ni balozi wa Timu ya Taifa ya Burundi, leo Juni 6,2022 amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Afcon kwa timu ya Taifa ya Burundi dhidi ya Cameroon iliyo kundi C unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa,Juni 9 ni wakati wa Watanzania pamoja na Warundi kuungana kuweza kuishangilia Burundi. Pia amesema…
INJINIA Hersi Said, Rais wa Yanga amesema kuwa watandoka na ndege maalumu leo Juni 5 kuelekea Mbeya ikiwa imelipiwa na Serikali. Yanga baada ya kufika fainali na kumaiza kwa ushindi dhidi ya USM Alger licha ya kushindwa kutwaa ubingwa walicheza mchezo wa ushindani katika kusaka nafasi ya kutwaa ubingwa lakini malengo hayakutimia. Kutokana na hayo…
MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally ‘Jembe’ amesema Haji Manara anapaswa kujiweka mbali na marafiki wanafiki ambao wanamjaza upepo (Kumdanganya) kwamba hana makosa kutokana na hukumu aliyoipata ya kufungiwa miaka miwili kutojihusisha na soka pamoja na faini ya shilingi milioni 20. Akifanya mahojiano maalum na Mwandishi wa Habari wa Global TV, Jembe amenukuliwa akisema:“Mimi natakuwa…
MKONGWE kwenye tasnia ya Uandishi wa Habari akiwa na uzoefu mkubwa kwenye kazi hiyo amebainisha kuwa Simba ilikuwa ni lazima kuweza kufanya usajili wa kati baada ya kuachana na Pascal Wawa ambaye anaamini kwamba yeye ni beki bora kwa muda wa ambao alikuwa yupo hapo
INJINIA Hersi Said mgombea wa nafasi ya Urais ndani ya Yanga ameweka wazi kwamba Wanachama watakuwa na mchango mkubwa ndani ya Yanga kutokana na mchango ambao watakuwa wanatoa. Pia amezungumzia kuhusu kufanya vizuri kwa Yanga Princess pamoja na maendeleo yajayo. Kuhusu ahadi ya uwanja pamoja na mafanikio ya kutwaa makombe ambayo aliahidi na akafanikiwa hayo…
MCHEZO wa kwanza walipokutana aliwafunga ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Somalia 0-1 Tanzania walipokutana mara ya pili akawafunga tena. Anaitwa Abdul Suleiman,’Sopu’ kiungo mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Star ambaye anafanya kazi ngumu kuwa nyepesi. Alihusika kwenye mabao mawili wakati Stars ikishinda 2-1 Somalia kwenye mchezo wa pili,Uwanja wa Mkapa ambapo alifunga…
ISHU ya jezi ya kiungo wa Yanga, Clatous Chama Simba wamehusika kwa namna hii kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ameweka wazi kuwa malengo yao ni kuona kwamba hasahauliki kwa kuwa ni yuleyule.