FEI TOTO ASHUSHA PRESHA YANGA

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameweka wazi kuwa wao kama wachezaji wanaendelea kujipanga kuhakikisha wanapata alama tatu kwenye michezo yao inayofuata kwani msimu huu wana jambo lao hivyo mashabiki wasiwe na wasiwasi. Yanga hadi sasa inaongoza Ligi Kuu Bara kwa pointi 16 katika michezo yote sita iliyocheza hadi sasa huku ikifuatiwa na Simba wenye pointi 14.  Feisal alisema kuwa kama safari ndio kwanza imeanza ya kusaka ubingwa, hivyo wamejipanga vizuri kuhakikisha wanapata alama tatu kwenye mechi zao…

Read More

WAAMUZI NI PASUA KICHWA,WACHEZAJI PIGENI KAZI

KIVUMBI kinazidi kuwaka kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo kwa msimu huu mpya wa 2021/22 unaoyesha kwamba sio wa kitoto. Wakati ligi ikizidi kuwa ni moto waamuzi wamekuwa ni pasua kichwa kwa kuonekana wakifanya maamuzi ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na wengi jambo ambalo linaua ile ladha ya ushindani. Makosa yapo lakini haina maana…

Read More

BENZEMA APIGWA FAINI NA HUKUMU

MSHAMBULIAJI Real Madrid, Karim Benzema amepatikana na hatia katika kosa la kumtishia mchezaji mwenzake wa zamani kwenye timu ya taifa ya Ufaransa Mathieu Valbuena. Inaelezwa kuwa Benzema aliweza kumuingiza kwenye mtego mchezaji huyo kuhusu masuala ya video ya udhalilishaji jambo ambalo lilimfanya aweze kuripoti Polisi. Kwa kosa hilo Benzema atatumikia kifungo cha mwaka mmoja baada…

Read More

SIMULIZI YA MFANYABIASHARA AMBAYE ALITOROKWA NA MARAFIKI ZAKE

SIMULIZI ya mfanyabiashara ambaye alitorokwa na marafiki zake Niliishi mjini Namanga ambapo nilikuwa na biashara mbalimbali za kuuza nguo kwenye mji huo uliokuwa kitovu kizuri cha biashara kwa kuwa ulipatikana mpakani. Nilikuwa mwana pekee katika familia yetu. Maisha yalikuwa mazuri kwani nilikuwa buheri wa afya, kijana mtanashati aliyekuwa miraba minne. Biashara ilinipeleka vizuri maana wateja…

Read More

SIMBA WAIVUTIA KASI RED ARROWS

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kimeendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Red Arrows katika mchezo wao wa kimataifa. Ni Novemba 28 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Simba imeangukia hatua ya Kombe la…

Read More

ZIDANE AGOMEA DILI LA MANCHESTER UNITED

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Manchester United inamtaka Kocha Zinedine Zidane raia wa Ufaransa kutua klabu hapo kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kufuatia kufungashiwa virago kwa Ole Gunar Solskjaer lakini kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na kocha huyo wa zamani wa Real Madrid, amesema hana mpango wa kwenda Old Trafford.   Solskjaer alitimuliwa na…

Read More

MORRISON AWASHUKURU YANGA

BAADA ya Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo,(CAS) kutoa maamuzi kuhusu kesi ya kiungo Bernard Morrison ambaye ilikuwa ni utata kuhusu mkataba wake na mabosi wake wa zamani Yanga mchezaji huyo ameandika ujumbe wa kushukuru. Jana Novemba 22 CAS ilitoa hukumu kwa kueleza kuwa imetupilia mbali rufaa ya kesi iliyokatwa na Yanga kuhusu dili la mkataba…

Read More

AJIBU YAMEMKUTA SIMBA CHINI YA PABLO

KOCHA Mkuu wa Simba, Mhispania, Pablo Franco, hakuweza kumtumia kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu kwenye mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Mchezo wake wa kwanza kukaa benchi mbele ya Ruvu Shooting alishuhudia timu yake ikishinda mabao 3-1 ikiwa ni ushindi mkubwa kwa Simba msimu wa 2021/22. Alifanya kazi kwa kushirikiana na…

Read More

SIMULIZI KUHUSU JAMAA ALIYEPOTEA KWA MUDA KISA SHILINGI

SIMULIZI ya kuhusu aliyepotea kwa muda usiojulikana kisa fedha:- Alhamisi moja kunako mwaka wa 2002, nilipokuwa nafanya kazi ya kuungaunga katika kampuni moja ambapo ilinilazimu kuamka mapema sana ili kuhakikisha kwamba nawahi stendi ambapo wafanyikazi walichakuliwa watakaopata kibarua siku ile. Siku yenyewe ilikucha kwa mbwembwe kwelikweli kiasi cha kuonekana yenye nyota njema.Katika harakati zangu za…

Read More

MWENDO WA AZAM FC BAADA YA MECHI 6

AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina baada ya kucheza mechi 6 za Ligi Kuu Bara imekusanya pointi 7 msimu wa 2021/22. Ipo nafasi ya 10 na imetupia mabao matano huku ikiwa imeruhusu mabao ya kufungwa 7. Haijawa kwenye mwendo mzuri kwa mechi hizi za mwanzo kwa kile ambacho kimeelezwa kuwa ni kushindwa kutumia…

Read More

MANE ATAKA MKWANJA KAMA WA SALAH

WINGA matata ndani ya kikosi cha Liverpool, Sadio Mane imeripotiwa kwamba anataka mshahara kama anaopewa mshambuliaji matata ndani ya kikosi hicho Mohamed Salah. Kiwango cha Mane msimu huu wa 2021/22 kimezidi kuwa imara akiwa ametupia mabao saba kwenye mechi 12 ambazo amecheza mpaka sasa ndani ya Ligi Kuu England. Mkwanja ambao anakuja kwa wiki Salah…

Read More