
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
LEO Machi 29, benki ya NBC ambao ni wadhamini wa Ligi Kuu Bara ya Tanzania wameingia makubaliano na Shirikisho la Mpira Tanzania kwa ajili ya Bima ya Afya na maisha. Makubaliano hayo ni maalumu ambapo TFF imeweza kuingia na NBC ili kuweza kutoa bima za afya kwa familia ya michezo. Bima hizo za afya zinatarajiwa…
LICHA ya staa mkubwa wa Hollywood, Will Smith kuomba msamaha jukwaani baada ya kumzaba kofi mchekeshaji Chris Rock, staa huyo pia ametumia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram kuendelea kuomba radhi, safari hii akimuomba pia radhi Rock kwa kitendo alichomfanyia. Will Smith ameandika:“Vurugu katika namna yake yoyote ni sumu na hubomoa. Tabia yangu…
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo Jumanne kitacheza mchezo wa pili wa kirafiki dhidi ya Sudan kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuanza saa 1:00 usiku, Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesema vijana wake wapo vizuri kukabiliana na wapinzani wao. Mchezo huu unakuja baada ya…
UONGOZI wa Yanga umefunguka ishu ya mshambuliaji wao wa kati kipenzi cha mashabiki, Fiston Mayele kuhusishwa kujiunga na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Yanga wametoa tamko rasmi kuwa mzee huyo wa kutetema hataondoka kutokana na kuwa na mkataba wa kuendelea kukipiga ndani ya klabu hiyo. Mayele kwa sasa ndiye mshambuliaji tegemeo wa Yanga akiwa ndiye…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa wanahitaji ushindi katika mchezo wao wa Jumapili dhidi ya US Gendarmerie unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba iliyo nafasi ya tatu ina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu ili kuweza kukata tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Tayari kikosi kipo kambini kwa ajili ya maandalizi…
Kwa muda mrefu sasa, unapoizungumzia Kasino ya Meridianbet, unazungumzia Jakipoti za Kasino na ushindi mkubwa! Kwa mwaka 2022 pekee, mpaka sasa kuna washindi wawili wametusua ushindi mkubwa!! Mchezaji mwingine wa Kasino kupitia Meridianbet alijaribu bahati yake kupitia mchezo wa Crazy Time unaotengenezwa na kampuni ya Evolution. Gurudumu lenye maajabu ya kusaka pesa lilifanya kazi…
KUNA namna ya kufanya hasa katika kipindi kigumu ambacho wanakuwa wanapitia wachezaji kwenye kusaka ushindi ndani ya uwanja bado wanapaswa kulindwa na kupewa kile ambacho wanastahili. Kawaida ya wapambanaji ni muhimu kulindwa kwa kuwa wakati huu wa mzunguko wa pili mambo huwa yanakuwa tofauti na mengi hubadilika. Tunaona kwamba wachezaji muhimu ambao ni chaguo la…
MMILIKI wa Klabu ya Chelsea inayoshiriki Ligi Kuu England, Roman Abramovich imeripotiwa kuwa yupo sawa baada ya kutajwa kuwa na dalili za maumivu katika macho huku ikitajwa kuwa ni sumu za kemikali. Kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi wa mtandao wa Bellingcat, Abramovich na Ukraine walikuwa katika mazungumzo ya masuala ya amani alikuwa akisumbuliwa na…
BADO kidogo kitaumana Uwanja wa Mkapa kwa watani wa jadi kukutana huku kwa sasa wachezaji wa timu zote mbili wakiwa kwenye msako wa kuongeza rekodi. Aprili 30, timu hizo zinatarajiwa kukutana na ule mchezo wa mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu bila kufungana na kila mmoja akasepa na pointi mojamoja. Sasa rekodi za mastaa wa timu…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
KAMATI ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Afrika, CAF imeipiga faini Klabu ya RS Berkane kutokana na vitendo visivyo vya kinidhamu kwenye mechi za Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba. Taarifa iliyotolewa mapema leo Machi 28 na CAF imeeleza kuwa mechi iliyochezwa Februari 2022, Simba wakiwa ugenini, mashabiki wa RS Berkane waliwashambulia wachezaji wa Simba…
KIUNGO wa Simba, Peter Banda ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki kwa mwezi Machi. Banda ameweza kushinda tuzo hiyo akiwazidi kura nyota wawili ambao aliingia nao katika fainali inayodhamiwa na Emirate Aluminium. Nyota hao ni pamoja na beki wa kazi ngumu na chafu Shomari Kapombe pamoja na kiungo wa kupekecha Pape Sakho. Kapombe aliweza…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Yacouba Songne anaweza kurejea uwanjani muda wowte kuanzia sasa baada ya kuwa nje kwa muda akitibu goti. Yacouba aliumia katika mchezo dhidi ya Geita Gold Oktoba 2, mwaka jana ambao Yanga waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Jesus Moloko ambapo yeye alitoa pasi ya bao hilo. Daktari wa Yanga, Youssef…
KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania ya Halotel Tanzania,leo Machi 28 imezindua promosheni ya ‘Shinda na Halopesa’ itakayotoa fursa kwa wateja kuweza kushinda fedha taslimu pamoja na Pikipiki maarufu kama ‘Bodaboda’ mpya kabisa. Promosheni hii itadumu kwa muda wa wiki 8 ni maalumu kwa wateja wa HaloPesa na ni jumla ya wateja 72 watashinda zawadi mbalimbali zitakazotolewa…
TIMU ya Wanawake ya Chelsea imeibuka na ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya timu ya Wanawake ya Leicester City. Mchezo huo wa Ligi ya Wanawake ulichezwa Uwanja wa The King Power Jumapili ya Machi 27,2022. Mabao ya Guro Reiten ambaye alitupia mabao mawili ilikuwa dk ya 3 na 45+5 huku Sam Kerr yeye alitupia mawili…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mechi zao zote za kwenye ligi ikiwa ni pamoja na mchezo wao dhidi ya Azam FC. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 18 inatarajiwa kukutana na Azam FC Aprili 6, Uwanja wa Azam Complex. Manara amesema kuwa…