VIDEO:UWANJA MPYA WA YANGA KUCHUKUWA WATU 20,000
MGOMBEA Urais ndani ya Yanga,Injinia Hersi Said amebainisha kwamba atajenga uwanja ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua watu 20,000
MGOMBEA Urais ndani ya Yanga,Injinia Hersi Said amebainisha kwamba atajenga uwanja ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua watu 20,000
NYOTA wapya ndani ya kikosi cha Simba, Moses Phiri na Okra ni miongoni mwa wachezaji ambao wamempa jeuri bosi wa Simba kuamini kwama watarejesha furaha ndani ya timu hiyo msimu wa 2022/23
Wakati ukimalizia kula nyama na pilau la sikukuu ya Krismasi, itakuwa siku nzuri sana kwako mpenzi wa soka pale ambapo utafungua boksi la zawadi kutoka Meridianbet likiwa na Odds Bombaa!! Kwenye mechi zote za EPL kuanzia leo 26 Desemba 2022. Ni Chelsea, Arsenal, Manchester United Man City, Newcastle, Tottenham zitakuwa dimbani. Odds za Meridianbet zikoje?…
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba Sc Salim Abdallah “Try Again” ametangaza kujiuzulu kutoka kwenye nafasi hiyo kwenye mazungumzo yake jioni leo Juni 11, 2024 kupitia Insta Live kwenye ukurasa rasmi wa Simba SC amesema, Mohammed Dewji atarudi kuwa mwenyekiti wa Bodi kama awali. “Kwa maslahi mapana ya Simba kwa kutambua mpira…
BOSI Simba: Al Ahly ndio tulikuwa tunawataka, Gamondi avujisha siri Yanga ndani ya Championi Jumatatu.
YANGA SC yamteka winga TP Mazembe, mechi ya heshima Simba v Azam FC ndani ya Spoti Xtra Jumanne
Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Dewji (MO) ametoa taarifa rasmi kuhusiana na kinachoendelea Simba SC baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi Salim Abdallah Muhene Try Again kutangaza kujiuzulu pamoja na Wajumbe wa upande wa Muwekezaji. MO Dewji amethibitisha kuwa anarejea tena kuwa Mwenyekiti wa Bodi wakati Try Again anarudi katika Bodi kama Mjumbe wa upande…
MATAJIRI wa Dar Azam FC leo watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika raundi ya Pili dhidi ya Al Akhdar ya Libya. Jana wachezaji hao walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kuanza kuzikimbiza dakika 90 wakiwa ugenini. Ni nyota 25 wapo nchini Libya miongoni mwao ni pamoja na…
MSHAMBULIAJI Mnamibia wa timu ya Jwaneng Galaxy ya Botswana, Rudath Wendell ambaye alifunga mabao mawili dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkapa, katika mchezo wa hatua ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika ameweka wazi kuwa yupo tayari kujiunga na Yanga ikiwa watapeleka ofa inayoeleweka. Oktoba 24, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Wendell mwenye…
UKIWEKA kando Yanga kusepa na pointi tatu mazima dhidi ya Real Bamako walitawala katika kila Idara huku wakicheza Kwa tahadhari licha ya kuwa wapo nyumbani. Mashuti waliyopiga ni 12 huku manne yakilenga lango na mawili yàkizama nyavuni watupiaji wakiwa ni Fiston Mayele dakika ya 8 na Jesus Moloko dakika ya 68. Bamako ni mashuti 11…
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Adel Amrouche ametangaza kikosi kitakachocheza michezo miwili ya kufuzu Afcon dhidi ya Uganda mechi mbili namna hii:- Aishi Manula, (Simba) Beno Kakolanya, (Simba) Metacha Mnata, (Yanga) Kibwana Shomari, (Yanga) Datius Peter, (Kagera Sugar) Yahya Mbegu, (Ihefu) David Luhende, (Kagera Sugar) Dickson Job, (Yanga) Bakari Mwamnyeto,…
UKIAMINI umesimama muhimu uendelee kupambana ili usianguke itafahamika leo Mei 7, Uwanja wa Nangwanda Sijaona kwenye mchezo wa nusu fainali Azam Sports Federation. Timu zote zinaingia uwanjani zikiwa na kazi ya kusepa na ushindi ili kutinga hatua ya fainali unaambiwa acha moto uwake mshindi apatikane. Hapa tunakuletea namna uimara ulivyo kwa wapinzani hawa wawili namna…
VINARA wa Ligi Kuu England, Manchester City hawaamini macho yao baada ya kubanwa mbavu na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Selhurst Park ulisoma Crystal Palace 0-0 Manchester City na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Sare hiyo inawafanya City kufikisha alama 70 wakiwa nafasi ya kwanza…
UWANJA wa London mambo yalikuwa magumu kwa Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England baada ya kutulizwa kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Westham United. Atajilaumu Alisson Ramses Becker ambaye alijifunga dakika ya nne katika harakati za kuokoa kona kisha Pablo Fornals alipachika kamba ya pili dakika ya 67 na msumari wa ushindi ulipachikwa…
MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid wataanza ugenini dhidi ya Liverpool na wababe PSG watavaana na Bayern Munich kwenye mechi za hatua ya 16 bora. Mechi za raundi hiyo zinatarajiwa kuanza kupigwa Februari 14 mpaka Machi 14, mwakani 2023 baada ya droo kuchezwa Novemba 7,2022. Liverpool na Real Madrid msimu uliopita zilikutana…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya unaotarajiwa kuchezwa Februari 11,2023. Mchezo huo ni wa hatua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na…
BATO ya watani wa jadi ndani ya 2023 inatarajiwa kuwa ni Aprili 9 ndani ya Ligi Kuu Bara kwenye mzunguko wa pili wa 2022/23. Mtanage wa kwanza wababe hawa wenye ngome zao pale Kariakoo ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 Yanga. Watupiaji wote walitupia mabao yao ndani ya kipindi cha kwanza ikiwa ni…