
MANCHESTER UNITED KAMA ULIVYOSIKIA WAMECHAPWA HUKO
KLABU ya Everton imefufua matumaini ya kuweza kuwa na nguvu ya kubaki ndani ya Ligi Kuu England baada ya ushindi mbele ya Manchester United. Ushindi ambao wamepata wa bao 1-0 Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jioni ya leo una maana kubwa kwao kwa kuwa hawakuwa wanachohitaji zaidi ya pointi tatu. Bao…