HIZI HAPA KAZINI LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili kasi yake inazidi kuwa kubwa ambapo ni muda wa kukamilisha hesabu. Mei 8 kuna timu zitakuwa kazini kusaka pointi tatu ndani ya uwanja katika dakika 90 za kazikazi. Ni Mashujaa watakuwa Uwanja wa Lkae Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma kukabiliana na KMC. Ikumbukwe kwamba Mashujaa imetoka kupoteza mchezo…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU HIZI KAGERA SUGAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wanatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa Yanga haijapoteza mchezo wowote msimu wa 2023/24 ikiwa nyumbani hivyo Kagera Sugar wanakazi kubwa kufanya ugenini. Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel gamondi amebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo huo na kikubwa…

Read More

MZEE WA BOLI ITEMBEE NA DAKIKA 270 ZA MOTO

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba katika mechi tatu ambazo ni dakika 270 ameshuhudia timu hiyo ikiambulia sare moja, ikishinda mechi mbili. Ni dakika za moto uwanjani kutokana na wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa fiti ikiwa ni pamoja na Kibu Dennis aliyepata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Namungo, Henock Inonga ambaye ni beki alipata…

Read More

MWAMBA KIBU DENNIS NA REKODI ZAKE

MWAMBA Kibu Dennis ndani ya kikosi cha Simba ni chaguo la kwanza kutokana na uwezo wake alionao katika kutimiza majukumu yake. Kwenye Ligi Kuu Bara amecheza jumla ya mechi 19 katupia bao moja ilikuwa kwenye Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga na katengeneza pasi tatu za mabao. Nyota huyo pia kwenye mchezo dhidi ya Ihefu uliochezwa…

Read More

Mgao wa Expanse Tournament Kasino Umeongezwa Meridianbet.

Jiunge na Meridianbet kasino kufurahia promosheni kubwa ya Expanse Tournament, inakupa bonasi za kasino huku ukifurahia mamilioni yakimwagika kila baada ya sekunde. Shiriki kwenye shindano hili ili uwe moja ya washindi. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet kuwaletea shindano kubwa la zawadi, mgao wa Mamilioni unakusubiri, kwa kucheza…

Read More

UEFA MAMBO NI MOTO SANA

Meridianbet wanakwambia hivi, siku ya leo na kesho unaweza kupasua anga kwa kusuka jamvi lako ukiwa na akaunti yako ya Meridianbet kwani huku ndiko kuna mechi za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Kivumbi leo hii kitaanzia pale Parc des Princes ambapo PSG baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya Nusu Fainali wa…

Read More

COASTAL UNION YATOSHANA NGUVU NA PRISONS

POINTI moja waliyovuna kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons inawabakisha Coastal Union kwenye nafasi ile ya nne. Mei 6 2024, Coastal Union ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Coastal Union 0-0 Tanzania Prisons…

Read More

YANGA NDANI YA DAR KUWAKABILI KAGERA SUGAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga baada ya kukomba pointi tatu dhidi ya Mashujaa wamerejea Dar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 kutokana na kupata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza uwanjani….

Read More

ALI KAMWE: AZIZ HAWEZI KUCHEZA NA WATU WANAOFANYA DHULUMA

“Aziz Ki ni kweli anamaliza mkataba wake lakini kwa hapa sioni kama kuna timu ambayo Aziz anaweza kucheza, Aziz anahitajika na timu nyingi kwa hizi timu za Afrika Kusini Aziz hawezi kucheza na watu wanaofanya dhuluma namna ile” “Ziko ofa nyingi lakini kubwa ambalo naweza kuwaambia wanayanga, wachezaji bora ambao wamewaona kwenye kikosi chetu wanasalia…

Read More

MASIKINI MAN UTD IMEJICHOKEA, YAPIGIKA MAGOLI 4-0

Baada ya kuwa na matokeo ya kusuasua katika Msimu wa 2023/24, mambo bado hayajapoa kwa Manchester United ambayo imekubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Crystal Palace kwenye mchezo wa Premier League Magoli ya Michael Olise (mawili), Jean-Philippe Mateta na Tyrick Mitchell yameifanya Palace kufikisha pointi 43 ikiwa nafasi ya 14 huku Man. United ikibaki…

Read More

SIMBA 2-0 TABORA UNITED

FT: LIGI Kuu Bara Mzunguko wa pili Simba 2-0 Tabora United Sadio Kanoute goal dakika ya 19 Edwin Balua goal dakika ya77. Simba ipo Uwanja wa Azam Complex Dar kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Tabora United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Ayoub Lakred ameanza langoni ikiwa ni mchezo wake wa tatu mfululizo…

Read More

MTIBWA SUGAR 0-2 AZAM FC

FT: Uwanja wa Manungu Ligi Kuu Bara Mzunguko wa pili Mtibwa Sugar 0-2 Azam FC. Feisal Salum goal dakika ya 20 Gibril Sillah goal dakika ya  65. Mtibwa Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila inapambana kupata pointi tatu kujinusuru hatari ya kushuka daraja. Inapambana na Azam FC ambayo inasaka nafasi ya pili kufanikisha malengo…

Read More