
RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO
HII hapa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo ndani ya uwanja. Desemba 27 2024 Azam FC v JKT Tanzania, saa 1:00 usiku itakuwa Uwanja wa Azam Complex. Desemba 28 2024 Singida Black Stars v Simba, saa 10:00 jioni, itakuwa Uwanja wa Liti. Dodoma Jiji v Mashujaa,…