
HAJI MANARA ATUPA DONGO KWA SIMBA
OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Simba wapo tayari kwa mchezo huo huku wapinzani wao wakiwa ni wa kawada tu. Kesho Aprili 30,2022 Yanga itawakaribisha Simba kwenye mchezo wa ligi ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa timu zote zinahitaji pointi tatu muhimu. Manara amesema kuwa…