
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU MORRISON
UONGOZI wa Simba umesema kuwa ikiwa watapata taarifa kwamba mchezaji wao Bernard Morrison anahitajika na Yanga watawapa hata kwa mkopo. Nyota huyo ambaye kwa sasa hajaonekana uwanjani kwa muda kwa kile ambacho Kocha Mkuu, Pablo Franco wa Simba amesema kwamba ana majeraha amekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ilikuwa ni timu ya mwanzo…