
BEKI SIMBA AGOMEA MKATABA, AOMBA KUSEPA
INATAJWA kuwa beki wa kati wa Simba, Ibrahim Ame anayecheza kwa mkopo Mtibwa amegoma kuongeza mkataba kwa mabosi wake hao huku ikielezwa kuwa kuna mpango wa kujiunga na Coastal Union. Ame alijiunga na Simba msimu wa 2020/21 akitokea Coastal Union na kusaini mkataba wa miaka miwili ambao unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Mmoja wa…