VIDEO:SIMBA KUPANGWA NA WAYDAD JEMBE AFICHUA
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
Klabu ya Simba SC imeendelea na harakati zake za kuimarisha kikosi kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC na michuano ya kimataifa kwa kuwatambulisha rasmi nyota wapya wawili kutoka klabu ya JKT Tanzania. Wachezaji hao ni Wilson Nangu, beki wa kati wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), pamoja na kipa ambaye ameonyesha…
Simba sc na Cape Town City, zimefikia Makubaliano ya kuuziana Beki wa Kati raia wa DRC Congo Nathan Idumba Fasika, Uhamisho wa Nyota huyo unakadiliwa kukamilika mwishoni mwa msimu ili kumpa nafasi Idumba amalize kuitumikia Cape Town City kwa Msimu huu. kinachoendelea sasa ni Makubaliano binafsi na Beki huyo juu ya Mshahara wake na Simba…
Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi. Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri…
NYOTA wa Simba, Kibu Dennis, Ellie Mpanzu, Jean Ahoua, Fabrince Ngoma siku moja kabla ya kuwakabili Waarabu wa Misri, Al Masry walipigishwa matizi na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids na mwisho siku ya mchezo Aprili 9 2025 walikata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa penati 4-1, dakika 90…
TAWI la Coastal Union la ‘Obama Camp’ la Mabokweni Tanga, limetoa zawadi ya mbuzi mmoja kuwapongeza vijana wao kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar. Ushindi huo waliupata Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bao la ushindi lilifungwa kiufundi na Gustava Simon kwa pigo…
UONGOZI wa kikosi cha Yanga, umeweka wazi kuwa wamejiwekea malengo makubwa ya kuhakikisha msimu ujao, angalau wanacheza hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union umewafanya Yanga rasmi kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa ligi na kuandika rekodi ya kushinda ubingwa huo kwa mara ya 28….
OKRA aanza na nondo 5 Yanga, Luis achafua hali ya hewa Simba SC, ndani ya Championi Jumatatu… Happy New Year 2024
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mpango wa usajili upo na anahitaji kumpata mbadala wa Kibwana Shomari. Pendekezo lake ni kuwapata wazawa wenye vipaji ili waweze kukomaa zaidi kwa kuwa amewaona wengi na wanauwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri kwa ajili ya mashabiki na timu kiujumla.
BAADA ya kutambulishwa katika Klabu ya USM Algers ya nchini Algeria beki Fondoh Che Malone ameanza mazoezi katika kikosi hicho. Beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga ndani ya kikosi cha Simba SC kwenye mechi za ligi ilikuwa Uwanja wa KMC, Mwenge Dar. Katika mchezo huo Che Malone alifungua ukurasa wa mabao…
MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC bado utaendelea kuwepo hapo baada ya kuongeza kandarasi ya mwaka mmoja. Ni Idris Mbombo ambaye ana uwezo wa kufunga mabao akiwa nje ya 18 ama ndani ya 18 kwa wapinzani akiwa ndani ya uwanja. Ni shuhuda timu ya Azam FC ikigotea nafasi ya tatu huku Yanga wakitwaa ubingwa…
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha PSG, Lionel Messi ameingia kwenye rekodi ya wale waliopata nafasi ya kufunga kwenye Ligi Kuu Ufaransa. Messi alifunga bao moja kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Nates na PSG iliweza kushinda kwa mabao 3-1 ikiwa nyumbani. Mshambuliaji huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Klabu ya Barcelona na mwanzo wa msimu wa…
Klabu ya Singida Black Stars itazindua uwanja wake mpya wa ’AIRTEL STADIUM’ Machi 24, 2025. Uwanja huo utazinduliwa kwa mechi ya kirafiki katibya Singida Black stars dhidi ya Yanga SC. Kwenye taarifa yao, Singida wamesema kuwa uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Je,…
KAMATI ya Leseni za Klabu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeufungia Uwanja wa Liti, uliopo Singida. Uwanja huo ambao unatumiwa na Singida Fountain Gate kwa mechi za nyumbani kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara sasa hautatumika kwa michezo ya ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa…
TIMU ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 imeanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza wa kundi G dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1. Kiongozi wao ni nahodha Khalid Aucho anayeikipiga ndani ya kikosi cha Yanga, Uganda iliokota bao la dakika za jioni likifungwa na Seydouba Cisse katika dakika za nyongeza…
UWANJA wa Suez Canal huko Ismailia Misri saa 11:00 jioni Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Uganda. Huu ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon 2023 kikosi hiki hapa kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Dickson Job Novatus Dismas Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Himid Mao Simon Msuva Mzamiru…