KOCHA KAIZER CHIEFS AMALIZANA NA SIMBA

BAADA ya kufanya mazungumzo mazito na mabosi wa Simba SC, inaelezwa kwamba kocha wa zamani wa Kaizer Chiefs, Stuart Baxter, wamefikia makubaliano mazuri, lakini ameomba kwanza kurejea kwao Uingereza. Kocha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini na England U19, juzi alifanya mazungumzo na mabosi wa Simba kwa ajili ya kukamilisha dili…

Read More

ARTETA HOFU TUPU KISA JESUS

 KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta hajapenda kuona timu hiyo ikienda kwa kasi ya taratibu kuwania kuinasa saini ya Gabriel Jesus. Arteta ana hofu huenda akaikosa saini ya nyota huyo wa Manchester City ambayo ni muhimu kwake kwa ajili ya msimu ujao. Usajili uliopita Arteta alitumia pauni milioni 150 kukamilisha usajili wa Ben White,Aaron Ramsdale…

Read More

HUYU HAPA ANATAJWA KUWA KOCHA MPYA SIMBA

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye mazungumzo na Stuart Baxter aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kaizer Chiefs  Kabla ya kufungashiwa virago vyake huko ili aweze kubeba mikoba ya Pablo Franco. Kwa sasa Simba ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya ambapo CV zinatajwa kuwa zaidi ya 100 mezani kwa mabosi hao ambao wapo kwenye hatua za mwisho…

Read More

AZAM FC WAJA NA HESABU MPYA KABISA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao ni kwa msimu ujao kurejea kwa kasi na nguvu zaidi. Hizi zinakuwa ni hesabu mpya za Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Tayari matumaini ya kutwaa mataji ndani ya Azam FC yameyeyuka kwa kuwa wamefungashiwa virago kwenye Kombe…

Read More

CHAMA KARUDI ILA BADO HAJAWA FITI

LICHA ya kuanza mazoezi ndani ya kikosi cha Simba kiungo Clatous Chama bado hajawa fiti kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu akitibu majeraha ya enka. Nyota huyo wa Simba kwa sasa yupo Bongo baada ya kurejea kutoka Zambia Julai 10 ambapo alikuwa huko akipewa matibabu ya enka ambayo aliiumia kwenye mchezo wa dabi dhidi…

Read More

KMC HESABU ZAO ZA MZUNGUKO WA PILI ACHA KABISA

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba kwa sasa hesabu zao ni kuweza kufanya vizuri mechi zilizopo mbele yao katika kumaliza mzunguko wa pili. Baada ya kucheza mechi 25 KMC imekusanya pointi 31 ipo nafasi ya 10 kwenye msimamo. Mchezo wao ujao ni dhidi ya Tanzania Prisons iliyo nafasi ya 14 na pointi 25 inapambana kujinasua…

Read More

MSIMU UNAFIKA UKINGONI SASA HESABU MUHIMU

WAKATI uliobaki kwa sasa kwenye Ligi Kuu Bara ni mdogo hasa ukizingatia kwamba mechi zilizobaki hazizidi 7 kwa timu zinazoshiriki ligi hivyo ni muda wa kukamilisha hesabu. Matokeo ambayo yanapatikana leo ni maandalizi ya jana hivyo kwa sasa ni muda wa kufanya maandalizi mazuri kwa ajili ya kesho. Tunaona kwamba wapo wachezaji ambao kwa sasa…

Read More

AZIZ KI ATAJWA KUMALIZANA NA MABOSI MSIMBAZI

KIUNGO mshambuliaji wa Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast, Stephane Aziz Ki anatajwa kumalizana na mabosi wa Simba kwa dili la miaka miwili. Nyota huyo anatajwa kuingia kwenye rada za watani wa jadi wa Simba ambao ni Yanga waliokuwa kwenye mazungumzo naye. Dili ambalo Yanga walitajwa kumpa ilikuwa ni miaka mitatu na kilichokuwa kimebaki ni…

Read More

KIUNGO WA SIMBA AREJEA

CLATOUS Chama nyota wa Simba huenda atakuwa miongoni mwa nyota watakaoonyesha makeke yao kwenye mechi za ligi baada ya kuwa fiti. Mei 28, Chama alikuwa shuhuda kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kome la Shirikisho dhidi ya Yanga na timu yake ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na mtupiaji akiwa ni Feisal Saulu, huku…

Read More

KOCHA HUYU KAIZER CHIEFS ATAJWA SIMBA

IMEELEZWA kuwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Gavin Hunt yupo kwenye rada za mabosi wa Simba ili achukue mikoba ya Pablo Franco. Kocha huyo alikuwa kwenye benchi la ufundi Mei 15,2020 wakati timu yake ikishinda mchezo wa kwanza mbele ya Simba kwa mabao 4-0. Kwa sasa kikosi cha Simba kipo chini…

Read More