
KOCHA HUYU ATAJWA KUBEBA MIKOBA YA PABLO
IMEELEZWA kuwa jina la Josef Vukusic ambaye amewahi kuinoa Klabu ya Polokwane na Amazulu za Afrika Kusini ambaye aliletwa duniani Agosti 3,1964 akiwa na miaka 57 anatajwa kuwa miongoni mwa makocha watakaorithi mikoba ya Pablo Franco ndani ya Simba. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa kwa sasa mchakato huo umefika hatua nzuri…