
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MTIWA SUGAR
LEO Juni 29 mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga wanakamilisha mzunguko wa 30 kwa kucheza na Mtibwa Sugar. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Mshery Kibwana Bryson Mwamnyeto Bacca Feisal Farid Jesus Ambundo Kaseke Mayele Akiba Johora Boxer Yassin Shaibu Balama Ushindi Nkane Makambo Yusuph